Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Wakuu naomba ufafanuzi.
Iwapo natumia desktop au laptop yenye let's say HDD 40GB, RAM 512 GHz, na processor <1BG, je nikiweka let's say HDD 320BG, 3GB RAM na processor 2GB, itakuwa na performance sawa na laptop yenye specifications hizo kutoka kiwandani?
Au kuna other factors to be considered? Na je uchakachuaji huo utaleta improvement yoyote kwenye performance yake?
Nawasilisha.....
Iwapo natumia desktop au laptop yenye let's say HDD 40GB, RAM 512 GHz, na processor <1BG, je nikiweka let's say HDD 320BG, 3GB RAM na processor 2GB, itakuwa na performance sawa na laptop yenye specifications hizo kutoka kiwandani?
Au kuna other factors to be considered? Na je uchakachuaji huo utaleta improvement yoyote kwenye performance yake?
Nawasilisha.....