Njia bora ya kumuacha mwanamke

Njia bora ya kumuacha mwanamke

ivi wewe mwanaume suruali uso kuwa na haya na kumuumiza Dada WA watu mlokole Hana haki ya kupenda mbwa wewe mwambie unakibamia sass nyoooooo
 
mtafune halafu mkimbie hama mji na badilisha mawasiliano ...ila katafune kwanza nasisitiza kagegede maana baadae katakuzarau
 
Ikiwa ni siku nyingne tena tunakutana kwenye jukwaa letu pendwa la MMU.
Leo naomba ushauri kidogo juu ya hili swala,

Kuna bidada mmoja tulifanya nae biashara fulani, baadae tukaendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida.Ila yule binti anajifanya mlokole sana tena sana, baada ya muda fulani nikamrushia ndoano bidada akajaa mazimamazima..

Ila baadae ikatokea hali ya kutokumpenda tena na sikuwahi kugegedana nae japo anaonyesha dalili zote za kuhitaji mchezo, Nikaanza visa vya hapa na pale ila naona ndo kwanza spidi ya kunipenda inazidi maana inafikia hatua kosa nafanya mm harafu yeye ananiomba msamaha mimi.

Kutoka moyoni huyu binti sina hisia nae tena na sihitaji kumgegeda sabab mm siwezi lala na mwanamke nisiyehitaji kuwa nae. Huyu binti anapiga simu kwa siku zaidi ya mara kumi japo mm simpigii wala kumtumia SMS.

Naombeni mnishauri njia bora ya kumuacha bila kumuachia maumivu yoyote maana muda mwingine namuonea huruma jinsi anavyohangaika juu yangu ili hali mimi sina malengo nae na sihitaji kumpotezea muda wala malengo yake..

Asanteni sana
Just simple kabisa,,muite sehemu ya faragha hata iliyotulia"baby samahani naomba lakini usinielewe vibaya,safari tuliyotaka kuianzisha naomba iishie hapa,na ukipata mtu mwenye nia ya kujenga maisha muyajenga mie nimebadilisha maamuzi,kifupi inabidi tuachane tu na hili ni kwa nia njema tu" kisha muage na ondoka kama Ruthu.
mwanzoni hata kuelewa ila with time she will catch up a her own lines.
 
Just simple kabisa,,muite sehemu ya faragha hata iliyotulia"baby samahani naomba lakini usinielewe vibaya,safari tuliyotaka kuianzisha naomba iishie hapa,na ukipata mtu mwenye nia ya kujenga maisha muyajenga mie nimebadilisha maamuzi,kifupi inabidi tuachane tu na hili ni kwa nia njema tu" kisha muage na ondoka kama Ruthu.
mwanzoni hata kuelewa ila with time she will catch up a her own lines.
Nashukur sana mkuu kwa huu ushauri na hii naona kuwa ndo njia bora zaidi ya kutumia
 
Be super cold tell her let's go back to where we never meet for your own good
 
Back
Top Bottom