We ni me au ke?Kwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..
JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
Mwanaume mpenzi au mume? Kama ni mpenzi si unapiga chini tuuu?Mi naulza njia bora ya kumuacha mwanaume!?
Mpnz natamani kumuacha namuachaje sasa? Ajanikosea chochote ila i want to move on na ka mchumba kapyaMwanaume mpenzi au mume? Kama ni mpenzi si unapiga chini tuuu?
MWANAUME MKUU...We ni me au ke?
Ni vibaya sana kumpotezea muda mtu ambae unatambua fika huna future nae. Muweke wazi mwambie sitaki tena kuwa na wewe. Ni ukweli mchungu na unauma sana lakini yatapita.Mpnz natamani kumuacha namuachaje sasa? Ajanikosea chochote ila i want to move on na ka mchumba kapya
Umeona eeeCc: Joseverest naic umesubscribe forum zote JF..
Jamani tatz moyo huu ndo chanzo taste imeisha kabsa haka kamchumba kapya kanataka kunimarry jamani...!Ni vibaya sana kumpotezea muda mtu ambae unatambua fika huna future nae. Muweke wazi mwambie sitaki tena kuwa na wewe. Ni ukweli mchungu na unauma sana lakini yatapita.
Angalia tu usije ukaenda kwa boya zaidi. Kukutangazia ndoa kusikufanye uchanganyikiwe. Usiingie kwenye ndoa kwasababu unahitaji ndoa. Itakucost..Jamani tatz moyo huu ndo chanzo taste imeisha kabsa haka kamchumba kapya kanataka kunimarry jamani...!
Jamani ndo hvyo tuko weng kabsa.. Sasa unaanzaje kumwambia mm na wew basi asiumie jamani hako ndo my pointNikajua ni mimi tu mwenye tatizo hilo kumbe tuko wengi..
Mwee! Kumbe nifanyeje jamaniAngalia tu usije ukaenda kwa boya zaidi. Kukutangazia ndoa kusikufanye uchanganyikiwe. Usiingie kwenye ndoa kwasababu unahitaji ndoa. Itakucost..
Kwani kumuacha mtu mpaka awe amekukosea? We mwambie tu uhusiano wenu umefika mwisho. Huna hata haja ya kutoa sababu. Ukatili ni pale ambapo hutamwambia ukweliMpnz natamani kumuacha namuachaje sasa? Ajanikosea chochote ila i want to move on na ka mchumba kapya
Wewe unataka mpenzi au ndoa?Mwee! Kumbe nifanyeje jamani
Sasa c naanza mpnz afu baadaye ndoaWewe unataka mpenzi au ndoa?
Mmh haya!Sasa c naanza mpnz afu baadaye ndoa
Sasa itabd uniambie nfanyeje jamani ctak dhamb za kujitafutiaMmh haya!
Fata moyo wako. Mfate umpendae. Maisha ni yako! Maisha ni mafupi mno!Sasa itabd uniambie nfanyeje jamani ctak dhamb za kujitafutia