Njia bora ya kumuacha mwanamke

Njia bora ya kumuacha mwanamke

Kwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..

JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA

Sahihi,..
 
Mwanzo nilikuw na hisia nae ila ghafla tu imetokea hali ya kutokujiskia kuwa nae kabsa
Unaweza kidogo ukatoa sababu ya kutokumpenda ghafra??tupate faida wadada.
 
Ukimuacha bila kumgonga atajisikia vibaya, bora gonga kama mara tatu hivi, ndio upange kumpotezea.
 
Kwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..

JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
Aisee hapo kwenye maherufi makubwa umezungumza; alafu umeandika kwa hasira shekhe
 
Kwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..

JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
wew Upo single nani atakuona mbaya tena?
 
Ikiwa ni siku nyingne tena tunakutana kwenye jukwaa letu pendwa la MMU.
Leo naomba ushauri kidogo juu ya hili swala,
Kuna bidada mmoja tulifanya nae biashara fulani, baadae tukaendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida.Ila yule binti anajifanya mlokole sana tena sana, baada ya muda fulani nikamrushia ndoano bidada akajaa mazimamazima..
Ila baadae ikatokea hali ya kutokumpenda tena na sikuwahi kugegedana nae japo anaonyesha dalili zote za kuhitaji mchezo, Nikaanza visa vya hapa na pale ila naona ndo kwanza spidi ya kunipenda inazidi maana inafikia hatua kosa nafanya mm harafu yeye ananiomba msamaha mm.
Kutoka moyoni huyu binti sina hisia nae tena na sihitaji kumgegeda sabab mm siwezi lala na mwanamke nisiyehitaji kuwa nae.
Huyu binti anapiga simu kwa siku zaidi ya mara kumi japo mm simpigii wala kumtumia SMS.
Naombeni mnishauri njia bora ya kumuacha bila kumuachia maumivu yoyote maana muda mwingine namuonea huruma jinsi anavyohangaika juu yangu ili hali mm sina malengo nae na sihitaji kumpotezea muda wala malengo yake..Asanteni sana
Mwache tu utakuja kumkumbuka wakati kumekucha, huyo kakuonesha upendo wa dhati unajifanya humpend, mwache aende utakutan na Bomu lako unalipenda wew halikupend halaf utarudi hapa, kuomba ushaur,nimeamin mwenye Bahat habahatiki,
 
Muombe 3sum unite...lazima atakuona muhuni...ifanye weekend hii nitakuwa nimejiandaa balaa...
 
Ok hapa nakupa njia za kifala za kuachana na mtu, hamuwezi kuachana kama mnaendana hivyo inabidi utafute ishu itakayoonyesha hamuendani.

Muombe tigo.
Akikataa mteme mwambia hakusikilizi hauwezi kua naye.

Akikubali, mteme mwambie huwezi kua na mhuni. Na ulihisi tu kua yeye ni mhuni.

It always works niamini mimi.
Am joking don't go with this shit it's crazy unless you are crazy.
 
Back
Top Bottom