Hahahahahahaha.............uwii nafwa mie kata mawasiliano nae ya moja kwa moja no kurudi nyumba breki ya kwanza UgandaMi naulza njia bora ya kumuacha mwanaume!?
Samahani..Kirefu cha MMU Ni nini...seriously Huwa nashindwa kuconnect dotWonders shall not end....
This is why we do live...
Kwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..
JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
Unaweza kidogo ukatoa sababu ya kutokumpenda ghafra??tupate faida wadada.Mwanzo nilikuw na hisia nae ila ghafla tu imetokea hali ya kutokujiskia kuwa nae kabsa
Aisee hapo kwenye maherufi makubwa umezungumza; alafu umeandika kwa hasira shekheKwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..
JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
wew Upo single nani atakuona mbaya tena?Kwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..
JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
Ndio maana nikampa ushauri mkuu..hamna tatizowew Upo single nani atakuona mbaya tena?
Mwache tu utakuja kumkumbuka wakati kumekucha, huyo kakuonesha upendo wa dhati unajifanya humpend, mwache aende utakutan na Bomu lako unalipenda wew halikupend halaf utarudi hapa, kuomba ushaur,nimeamin mwenye Bahat habahatiki,Ikiwa ni siku nyingne tena tunakutana kwenye jukwaa letu pendwa la MMU.
Leo naomba ushauri kidogo juu ya hili swala,
Kuna bidada mmoja tulifanya nae biashara fulani, baadae tukaendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida.Ila yule binti anajifanya mlokole sana tena sana, baada ya muda fulani nikamrushia ndoano bidada akajaa mazimamazima..
Ila baadae ikatokea hali ya kutokumpenda tena na sikuwahi kugegedana nae japo anaonyesha dalili zote za kuhitaji mchezo, Nikaanza visa vya hapa na pale ila naona ndo kwanza spidi ya kunipenda inazidi maana inafikia hatua kosa nafanya mm harafu yeye ananiomba msamaha mm.
Kutoka moyoni huyu binti sina hisia nae tena na sihitaji kumgegeda sabab mm siwezi lala na mwanamke nisiyehitaji kuwa nae.
Huyu binti anapiga simu kwa siku zaidi ya mara kumi japo mm simpigii wala kumtumia SMS.
Naombeni mnishauri njia bora ya kumuacha bila kumuachia maumivu yoyote maana muda mwingine namuonea huruma jinsi anavyohangaika juu yangu ili hali mm sina malengo nae na sihitaji kumpotezea muda wala malengo yake..Asanteni sana
Sijaandika kwa hasira shekhe...ni msisitizoAisee hapo kwenye maherufi makubwa umezungumza; alafu umeandika kwa hasira shekhe
Samahani hii mada tunaweza tukaendelea kueleweshana?Unaweza kidogo ukatoa sababu ya kutokumpenda ghafra??tupate faida wadada.
Acha kumsakama mwenzio na wewe ufanye ukitaka..@JosevestCc: Joseverest naic umesubscribe forum zote JF..![]()