Hapo sasa kazi unayo mkuu, kwa maana mtoto kakuganda balaaMpaka muda huu sijaelewa sbb ni nini ila nimejikuta natamani sana kuwa mwenyew kwa sasa.
GoodKwa nini ulimtongoza sasa kama hukuwa na hisia nae? We unajua mwanamke akipenda Kapenda kweli..
JIFUNZE KUHESHIMU HISIA ZA WANAWAKE MKUU..USICHEZE NA HISIA ZAKE..WATU KAMA NYIE NDIO MNATUFANYA WANAUME WENGINE TUONEKANE WABAYA
Iliwahi kunitokea ila nikaona nifanye kweli kila mtu roho yake iridhike. Alihitaji kugegedwa nampa na mm namaliza mizuka yangu.Ikiwa ni siku nyingne tena tunakutana kwenye jukwaa letu pendwa la MMU.
Leo naomba ushauri kidogo juu ya hili swala,
Kuna bidada mmoja tulifanya nae biashara fulani, baadae tukaendelea kuwasiliana kama marafiki wa kawaida.Ila yule binti anajifanya mlokole sana tena sana, baada ya muda fulani nikamrushia ndoano bidada akajaa mazimamazima..
Ila baadae ikatokea hali ya kutokumpenda tena na sikuwahi kugegedana nae japo anaonyesha dalili zote za kuhitaji mchezo, Nikaanza visa vya hapa na pale ila naona ndo kwanza spidi ya kunipenda inazidi maana inafikia hatua kosa nafanya mm harafu yeye ananiomba msamaha mm.
Kutoka moyoni huyu binti sina hisia nae tena na sihitaji kumgegeda sabab mm siwezi lala na mwanamke nisiyehitaji kuwa nae.
Huyu binti anapiga simu kwa siku zaidi ya mara kumi japo mm simpigii wala kumtumia SMS.
Naombeni mnishauri njia bora ya kumuacha bila kumuachia maumivu yoyote maana muda mwingine namuonea huruma jinsi anavyohangaika juu yangu ili hali mm sina malengo nae na sihitaji kumpotezea muda wala malengo yake..Asanteni sana
Yaani huyu gluk kaniboa kweli, hivi ukimpenda mtu kadri ck zinavyoenda c upendo ndo unaongezeka tena hawajakutana kimwili that means kila mtu anaham na mwenzie. MmmmmmmhHiyo 'Ghafla tu' imesababishwa na nini?
Hizo mada zakiboya jadili na masela huko maskani hasee mm umeniboa cjui kwa mhusika ikojeMpaka muda huu sijaelewa sbb ni nini ila nimejikuta natamani sana kuwa mwenyew kwa sasa.
Mkuu mimi haijawahi kunikuta ila nikwambie tu maumivu lazima yawepo tu pande zote mbili.... kivipi...Kwa mwanamke alikuwa anakutegemea sana mngeyajenga mahusiano vizuri..ina maana alishakuweka moyoni na haoni mwingine, sasa ukimuacha ghafla tu hivi atapata maumivu yasiyoelezeka na ndio inafanya watuchukie sisi wanaume na atapata tabu sana kuanzisha mahusiano mapya...Nipe uzoefu wako jinsi ya kulitatua hili bila madhara yoyote kwa upande wake..
Yeah halafu yeye ghafla bin vuu anataka amuacheYaani huyu gluk kaniboa kweli, hivi ukimpenda mtu kadri ck zinavyoenda c upendo ndo unaongezeka tena hawajakutana kimwili that means kila mtu anaham na mwenzie. Mmmmmmmh
Siumwambie unaukimwi yaisheNipe uzoefu wako jinsi ya kulitatua hili bila madhara yoyote kwa upande wake..
Kwa uzoefu wako akutane nae kimwilii ili hamu zipungueeYaani huyu gluk kaniboa kweli, hivi ukimpenda mtu kadri ck zinavyoenda c upendo ndo unaongezeka tena hawajakutana kimwili that means kila mtu anaham na mwenzie. Mmmmmmmh