Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,138
- 159,050
Wako angekuwa nazo kamwe usingeuliza hilo swali.
Wako angekuwa nazo kamwe usingeuliza hilo swali.
Kumbe mademu zangu wote makahaba.1. Ikiwa mwanamke anapenda kuvaa nguo zinazofunua na kuonyesha viungo vyake vya siri mitaani, katika mazingira ya familia au mkusanyiko wa umma, HUYO MWANAMKE NI KAHABA NA HAKUFAHI!
2. Mwanamke anayesema anachukia wanawake wenzake na ana marafiki wa kiume tu. 9 kati ya 10 mwanamke huyo ni MALAYA NA HAKUFAI! JIHADHARI NDUGU.
3. Ikiwa jina lake linalojulikana la mitaani au jina la utani lina Marejeo ya wakingono mfano anaitwa sweety, cheupe, mtoto mzuri NK. JIHADHARI HUYO MWANAMKE ANADALILI ZA UKAHABA.
4. Ikiwa hana tatizo la kuwa na mahusiano na wanaume waliooa au hata wanaume aliye katika uhusiano na mwanamke mwingine. JIHADHARI HUYO NI MWANAMKE MALAYA!
5. Yeye ni daima katika klabu za starehe na anajulikana katika klabu starehe na hafanyi kazi huko. JIHADHARI HUYO MWANAMKE NI KAHABA!
6. Ikiwa jamaa, rafiki au ndugu yako ya karibu tayari amekuwa katika mahusiano naye na yeye anataka kuwa na uhusiano na wewe. JIHADHARI HUYO MWANAMKE NI MALAYA! HAKUFAHI.
7. Ikiwa ana baba watoto wengi na wakati mwingine hajui nani ni baba halisi wa mmoja wa watoto wake. HUYO MWANAMKE NI MALAYA!
8. Ikiwa daima unaona wanaume tofauti wanaoingia na nje ya chumba chake au nyumba yake au akiwa anapenda sana kutoka usiku. JIHADHARI HUYO MWANAMKE HAKUFAHI NI KAHABA!
9. Yeye ni mama na yeye anatamaa na marafiki wa mwanawe au bintiye, DHAHIRI HUYO MWANAMKE HAKUFAHI NI KAHABA!
10. Mwanamke Anajichora Matatoo Mwilini Bila Aibu; JIHADHARI NA HUYO MWANAMKE HAKUFAHI NI KAHABA!
11. HANA HOFU YA MUNGU NDANI YAKE, UMEKUTANA NAYE MAZINGIRA YASIYOFAA .JIHADHARI SANA NA HUYO MWANAMKE HAKUFAHI!
*NB: SOMA MITHALI 7:6-27.
MWANAMKE HANA FORMULA, ENDELEA KUJIDANGANYA1. Ikiwa mwanamke anapenda kuvaa nguo zinazofunua na kuonyesha viungo vyake vya siri mitaani, katika mazingira ya familia au mkusanyiko wa umma, HUYO MWANAMKE NI KAHABA NA HAKUFAHI!
2. Mwanamke anayesema anachukia wanawake wenzake na ana marafiki wa kiume tu. 9 kati ya 10 mwanamke huyo ni MALAYA NA HAKUFAI! JIHADHARI NDUGU.
3. Ikiwa jina lake linalojulikana la mitaani au jina la utani lina Marejeo ya wakingono mfano anaitwa sweety, cheupe, mtoto mzuri NK. JIHADHARI HUYO MWANAMKE ANADALILI ZA UKAHABA.
4. Ikiwa hana tatizo la kuwa na mahusiano na wanaume waliooa au hata wanaume aliye katika uhusiano na mwanamke mwingine. JIHADHARI HUYO NI MWANAMKE MALAYA!
5. Yeye ni daima katika klabu za starehe na anajulikana katika klabu starehe na hafanyi kazi huko. JIHADHARI HUYO MWANAMKE NI KAHABA!
6. Ikiwa jamaa, rafiki au ndugu yako ya karibu tayari amekuwa katika mahusiano naye na yeye anataka kuwa na uhusiano na wewe. JIHADHARI HUYO MWANAMKE NI MALAYA! HAKUFAHI.
7. Ikiwa ana baba watoto wengi na wakati mwingine hajui nani ni baba halisi wa mmoja wa watoto wake. HUYO MWANAMKE NI MALAYA!
8. Ikiwa daima unaona wanaume tofauti wanaoingia na nje ya chumba chake au nyumba yake au akiwa anapenda sana kutoka usiku. JIHADHARI HUYO MWANAMKE HAKUFAHI NI KAHABA!
9. Yeye ni mama na yeye anatamaa na marafiki wa mwanawe au bintiye, DHAHIRI HUYO MWANAMKE HAKUFAHI NI KAHABA!
10. Mwanamke Anajichora Matatoo Mwilini Bila Aibu; JIHADHARI NA HUYO MWANAMKE HAKUFAHI NI KAHABA!
11. HANA HOFU YA MUNGU NDANI YAKE, UMEKUTANA NAYE MAZINGIRA YASIYOFAA .JIHADHARI SANA NA HUYO MWANAMKE HAKUFAHI!
*NB: SOMA MITHALI 7:6-27.
Utakua single mother tu wewe. Pole. Mungu alimuumba mwanaume kwanza na akampa mamlaka sasa ww jifanye kichaa tu. Biblia ilishasema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake sasa wewe gawa papa hiyo afu utusumbue kukesha kwa mwamposa. PoleeeeWako angekuwa nazo kamwe usingeuliza hilo swali.
Wengine wanatoboaga kwenye ulimi mpaka kwenye mbunyeeKama katoboa kitovu na sikio lotee limejaa hereni na ana kipini puani kama pamela. Ndugu yangu huyo hatakufaa
Chill out boy, stress ni sehemu ya maisha. Hebu pumua ziishe zote huwa inasaidia.Utakua single mother tu wewe. Pole. Mungu alimuumba mwanaume kwanza na akampa mamlaka sasa ww jifanye kichaa tu. Biblia ilishasema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake sasa wewe gawa papa hiyo afu utusumbue kukesha kwa mwamposa. Poleeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sina stress ila napenda kusema ukweli. Hekima hufuata hekima. Na ubaya unaufuata ubaya. Mtu yeyote anae fanya ushenzi asitegemee kupata mema ikiwa yy kajaa mabaya.Chill out boy, stress ni sehemu ya maisha. Hepu pumua ziishe zote huwa inasaidia.
Mm sina stress ila napenda kusema ukweli. Hekima hufuata hekima. Na ubaya unaufuata ubaya. Mtu yeyote anae fanya ushenzi asitegemee kupata mema ikiwa yy kajaa mabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata me najua, haya maneno sijasema kwamba ni sheria, ahsante kwa kuchangiaMWANAMKE HANA FORMULA, ENDELEA KUJIDANGANYA
Eehh umeniuzi uliposema wanaume hawana akili ili hali wanaume ndio waliokuleta ww kupitia mbegu zao.
Pambana.
Kusoma ni kuelewa, am responsible for what i wrote not what you understood boy!!Eehh umeniuzi uliposema wanaume hawana akili ili hali wanaume ndio waliokuleta ww kupitia mbegu zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa, sijasema kwamba maneno yangu ni sheria, ahsante kwa kuchangiaWewe ndio ushtuke kijana, hizo ulizotaja zote wanawake wa siku hizi wanacounter, unaweza kumkuta hana hata moja kumbe ni malaya mkata kiuno kuliko paka chongo!
How old are you kijana?!
Ok. Try to think b4.Kusoma ni kuelewa, am responsible for what i wrote not what you understood boy!!
Wewe ndio unatakiwa ufikirie kabla ya kukurupuka. Maana naona umekurupuka tu hata hujaelewa ukaona nawe ucomment. Hey, give me break please.
Hatari sana yaani ni mwendo wa kuwa na matobo mengi.Wengine wanatoboaga kwenye ulimi mpaka kwenye mbunyee