Njemba yapata zali, yapewa papuchi msibani

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,156
3,419
Kama ilivyo katika tamaduni zetu mtu akifiwa watu hukusanyika na usiku ukifika hulala nje ili kumpa sapoti mfiwa.

Juzi palitokea msiba jirani yangu ikibadi tujumuike pamoja ili kumpa pole mfiwa. Basi tukatenda yale yote yaliyotakiwa kutenda msibani.

Usiku ulipoingia tukalala nje kama ilivyo kawaida ya misiba yetu. Mimi nikapitiwa na usingizi.

Ilipofika mida kama ya saa nane usiku nikashituka usingizini nikawa nasikiwa watu waliolala jirani yangu wakinong'onezana eti

MWANAMKE: Sugua sugua na kichwa kwanza palainike usije kuniumiza.

DUME: Ongea taratibu watakusikia. Tutatia aibu.

MWANAMKE: Hapo ulipoweka ni juu ya chupi utaumia.

DUME: Sasa muda wote nahangaika hata husemi. Weka chupi upande basi.

MWANAMKE: Mudy weka taratibu bado hapajalainika unaniumiza.

Niliposikia hayo mazungumzo nikajifanya nakohoa. Pakawa kimyaaaa. Nikaamka kabisa nikaanza kuchezea simu yangu kisha nikawa natembea tembea.
Walinyamaza kimya kabisa.

Ilipofika saa kumi na moja asubuhi nikasepa zangu kwangu sikujua kilichoendelea. Ila dunia ina mambo sana
 
Back
Top Bottom