Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA

Safari hii magamba hamtapona mtasambaratika na kutawanyika kwa njia saba, na ndipo andiko litatimia
 

Nimesoma majina ya hawa waheshimiwa nikasikia mwili wote UKINISISIMKA!

Nameomba Mungu kabla sijafa nione Serikali ya Tanganyika.
 
Safari hii magamba hamtapona mtasambaratika na kutawanyika kwa njia saba, na ndipo andiko litatimia
 
Duh...kama wazee hawa wanakikimbia chama cha majambazi nashangaa vijana wenye nguvu zao wanasubiri nini.....

Njaa ndio zinawabakisha humo watakula waapi kuna wengine tunafanya kazi na kutoa jasho ili tupate mlo wa kesho lakini kuna wenzetu, majungu, fitna , uongo ndio shibe yao ya kila siku ukistaajabu ya MUSA utayaona ya Firaoni.
 
Huyo ni mpinzani toka kitambo hivyo amerudi nyumbani kwake. Hana madhara huyo ni kopo aende huko amsubiri chizi mwenye kopo amfuate.

Teh teh teee bakini na mafisadi yenu manake wengine wana hofu ya Mungu wasijekufa na dhambi ya dhulma bure .
 
Alishahama lini? Weka rekodi sawa tusikuone wa hovyo

Mkuu TAWA Ilikuwa ni mwaka 2000 baada ya kushindwa katika kura maoni za ubunge ndani ya CCM na alihamia CUF ambako haikumchukua muda mrefu akarejea CCM a.k.a UGAMBANI.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mzee hana lolote ni msaka madaraka tu! Siyo kwamba aliwahi kuvua gamba halafu baadaye akarudi tena? Au nimesahau? Huyu anasaka kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Lupa, nawaomba UKAWA wamweke pembeni tuone uvumilivu wake? Sina imani naye huyu!!
 
Huyu Mzee anahangaika alihamia CUF kisha akarudi CCM tena amehama CCM kwenda. CHDEMA
 
Alishaona hapiti akaona bora ahamie CHADEMA ni sawa sawa leo hii Steven Gerald anavyohamia LA Galaxy kwa kukosa # kwenye team yake. CHADEMA Walivyo mazuzu wataona wamepatia hahaha kumbe huyo ni Gunia la Sukari baharini.
 
Wacha longolongo zako wewe mbona umeshondwa kupanga mipango mizuri na ukatoka na ushauri mzuri kwa lowasa hasipoteze ela zake kwenye kutangaza nia na badala yake azipeleke vituo vya afya kununulia dawa ili kuokoa maisha ya mama na watoto ?
Hio post mbona sijahawahi i post humu? Na kwakweli na shangaa kuona umeni quote humu wakati haina relevance yeyote na Topic wala kinachokua discussed humu. Imeingieje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…