Nje ya vikao vya bunge, UKAWA is useless

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,692
40,947
UKAWA huwa wanaombea sana bunge liwe through out the year maana ni sehemu pekee ambayo wanaweza fanya ujinga wao na kuuza magazeti.

Yaani bila kutoka nje ya bunge kupinga hoja za ccm hata kama ni za maslahi kwa taifa basi vyama vyao vitakufa kibudu.

Sioni ubunifu wala nia ya dhati ya wapinzani nje ya bunge kuchochea shughuli za maendeleo za wananchi wao majimboni kwao.

Wanasubiri maigizo tu mjengoni na kuuza sura kwenye tv no wonder why walikua wanalilia sana bunge lirushwe live.

Hatupo tayari kulipia maigizo ya wasanii wachache na kuacha kufanya mambo ya maana.

Ukawa nje ya bunge ni useless.
 
Hehehe
Nakuambia hawa wanalindwa na Nyumbu
Bila hawa nihovyo tu

Ukijua kuropoka hata matusi bungeni
Nyumbu kesho anavaa tisheti lenye jinalako

MUMGU TUONDELEE HIKI KIZAZI POTOFU
 
Hehehe
Nakuambia hawa wanalindwa na Nyumbu
Bila hawa nihovyo tu

Ukijua kuropoka hata matusi bungeni
Nyumbu kesho anavaa tisheti lenye jinalako

MUMGU TUONDELEE HIKI KIZAZI POTOFU
umenena mkuu; they never are serious; wala hawaonekani kujaribu kua mbadala; ni kulialia tu kila mara na kudandia matukio.
 
wachochee maendeleo jimboni kwao kivipi??,hivi unajua hatua ngazi za maendeleo mpaka kufika kwenye jimbo??
 
ukawa huwa wanaombea sana bunge liwe through out the year maana ni sehemu pekee ambayo wanaweza fanya ujinga wao na kuuza magazeti.

Yaani bila kutoka nje ya bunge kupinga hoja za ccm hata kama ni za maslahi kwa taifa basi vyama vyao vitakufa kibudu.

sioni ubunifu wala nia ya dhati ya wapinzani nje ya bunge kuchochea shughuli za maendeleo za wananchi wao majimboni kwao.

wanasubiri maigizo tu mjengoni na kuuza sura kwenye tv no wonder why walikua wanalilia sana bunge lirushwe live.

hatupo tayari kulipia maigizo ya wasanii wachache na kuacha kufanya mambo ya maana.

Ukawa nje ya bunge ni useless.
Lumumba buku 7 shift ya usiku at work...bila upuuz wako asubuh bosi wako akupi hela ya chai Na maandaz fisi nyie...
 
Hiki ndo kile kizazi kilichoaminishwa aspirin inatokana na ubongo wa binaadamu....mleta mada ni bure kuliko hata hao ukawa
 
UKAWA huwa wanaombea sana bunge liwe through out the year maana ni sehemu pekee ambayo wanaweza fanya ujinga wao na kuuza magazeti.

Yaani bila kutoka nje ya bunge kupinga hoja za ccm hata kama ni za maslahi kwa taifa basi vyama vyao vitakufa kibudu.

Sioni ubunifu wala nia ya dhati ya wapinzani nje ya bunge kuchochea shughuli za maendeleo za wananchi wao majimboni kwao.

Wanasubiri maigizo tu mjengoni na kuuza sura kwenye tv no wonder why walikua wanalilia sana bunge lirushwe live.

Hatupo tayari kulipia maigizo ya wasanii wachache na kuacha kufanya mambo ya maana.

Ukawa nje ya bunge ni useless.
Wameipata DSM, sasa tuone wamejipangaje kiutendaji.
 
umenena mkuu; they never are serious; wala hawaonekani kujaribu kua mbadala; ni kulialia tu kila mara na kudandia matukio.
andika tu lugha mama ndg yangu.hizo zingine kama hivi zinakufanya dhalili. yaani maneno matatu tu ya kiingereza unachemka! ndo maana watu kama nyie msiojielewa ndo misukule yao! aibu kwa tumbo lililokuzaa!
 
Eti wabunge hawafanyi ubunifu wa shughuli za maendeleo majimboni kuchochea maendeleo... Sema tu kwa vile watu mnajificha nyuma ya avatar na anonymous username... aisee mna vituko sana.
 
andika tu lugha mama ndg yangu.hizo zingine kama hivi zinakufanya dhalili. yaani maneno matatu tu ya kiingereza unachemka! ndo maana watu kama nyie msiojielewa ndo misukule yao! aibu kwa tumbo lililokuzaa!
afadhali yangu napata tabu kuandika lugha ya majahazi ila hujaonesha nimekosea wapi kwa kuandika natakiwa niandike vipi. ila wewe unatia huruma zaidi maana hata kuandika lugha ya kiswahili huwezi. bure kabisa.
 
UKAWA huwa wanaombea sana bunge liwe through out the year maana ni sehemu pekee ambayo wanaweza fanya ujinga wao na kuuza magazeti.

Yaani bila kutoka nje ya bunge kupinga hoja za ccm hata kama ni za maslahi kwa taifa basi vyama vyao vitakufa kibudu.

Sioni ubunifu wala nia ya dhati ya wapinzani nje ya bunge kuchochea shughuli za maendeleo za wananchi wao majimboni kwao.

Wanasubiri maigizo tu mjengoni na kuuza sura kwenye tv no wonder why walikua wanalilia sana bunge lirushwe live.

Hatupo tayari kulipia maigizo ya wasanii wachache na kuacha kufanya mambo ya maana.

Ukawa nje ya bunge ni useless.
Dah,ila kaka kama hichi ulichokiandika kina kuakisi wewe una kazi kubwa ya kutengeneza akili yako.
inavyoonekana hujui kazi ya bunge
hujui maama ya upinzani
na unakurupuka sana.
 
UKAWA huwa wanaombea sana bunge liwe through out the year maana ni sehemu pekee ambayo wanaweza fanya ujinga wao na kuuza magazeti.

Yaani bila kutoka nje ya bunge kupinga hoja za ccm hata kama ni za maslahi kwa taifa basi vyama vyao vitakufa kibudu.

Sioni ubunifu wala nia ya dhati ya wapinzani nje ya bunge kuchochea shughuli za maendeleo za wananchi wao majimboni kwao.

Wanasubiri maigizo tu mjengoni na kuuza sura kwenye tv no wonder why walikua wanalilia sana bunge lirushwe live.

Hatupo tayari kulipia maigizo ya wasanii wachache na kuacha kufanya mambo ya maana.

Ukawa nje ya bunge ni useless.
Naipenda sana ccm sababu ya majipu
Yakiisha majipu tu naihama kingine ni chama la kulindana
Kwa sasa siami ng'o
 
UKAWA huwa wanaombea sana bunge liwe through out the year maana ni sehemu pekee ambayo wanaweza fanya ujinga wao na kuuza magazeti.

Yaani bila kutoka nje ya bunge kupinga hoja za ccm hata kama ni za maslahi kwa taifa basi vyama vyao vitakufa kibudu.

Sioni ubunifu wala nia ya dhati ya wapinzani nje ya bunge kuchochea shughuli za maendeleo za wananchi wao majimboni kwao.

Wanasubiri maigizo tu mjengoni na kuuza sura kwenye tv no wonder why walikua wanalilia sana bunge lirushwe live.

Hatupo tayari kulipia maigizo ya wasanii wachache na kuacha kufanya mambo ya maana.

Ukawa nje ya bunge ni useless.
Siku hizi kuna bange orijino na bange-majani ya mipapai! sasa ndugu yangu wewe tayari ushaathirika na majani ya mipapai ukidhani bange, zinduka utapigwa bao!
 
Back
Top Bottom