Akifa dr. Slaa patachimbika
Story za kutunga. Kuuana wanasisa upinzani umepitwa na wakati na kamwe sio awamu ya JMK.
Hiyo ni mbinu ya kuwatisha wananchi.robert Mugabe alitumia mbinu hiyo kule Zimbabwe hadi Morgan Tsavangirai akasusia duru ya pili ya uchaguzi kwa kuwa kila mkutano wananchi walikuwa wakiuwaawa na kuteswa.Hapa haturudi nyuma
Nilishangaa watu wengine wanakurupuka na kutoa maneno ya kufuta chama cha siasa bila kufikiria mwenendo wa vyombo vya diola katika kukwaza demokrasia....
Mimi nakubaliana na hoja, anayewindwa kuuwawa ni dr, Slaa. Mtindo huu wa mabomu utakuja kutumika kwa viongozi wa CDM ikiaminika kuwa kulitokea fujo na ikabidi kutumia mabomu; kumbe bomu moja litatumika kama lile lililomuua Mwangosi kwa viogozi wa cdm.
Some people are alive ONLY because it's illegal to kill them!
Umri wa kuishi = 48 na hii ndiyo Life Expectancy ya Mtanzania kwa hiyo ni muda wao kufa wala isishangaze.CCM
Kuzaliwa 1977
Kufa 2015
ata mi naona kwa unyambafu wanaofanya uko right mkuuSome people are alive ONLY because it's illegal to kill them!
Kwa hiyo wengine wakifa hakuna tatizo.
Akifa dr. Slaa patachimbika
kwa hiyo wengine wakifa hakuna tatizo.
kaka ujui mpaka sasa kama tendwa ni ccm. utanishangaza kama ujui?Tendwa naye kahesabiwa kwenye sensa. Inabidi kwenye sensa zijazo kiwekwe kipengele cha kama ana akili timamu au chizi, maana mnaweza kuwa mnajibizana na mtu kumbe hazimtoshi.
Mimi nakubaliana na hoja, anayewindwa kuuwawa ni dr, Slaa. Mtindo huu wa mabomu utakuja kutumika kwa viongozi wa CDM ikiaminika kuwa kulitokea fujo na ikabidi kutumia mabomu; kumbe bomu moja litatumika kama lile lililomuua Mwangosi kwa viogozi wa cdm.