vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,803
- 2,186
Chadema wanajimaliza wenyewe.
Hii inanikumbusha hadithi ya tamaa za mzee fisi ya kufuatilia mkono wa binaadamu akitembea yeye fisi akiamini kuwa si muda mrefu mkono utadondoka afaidi
Chadema wanajimaliza wenyewe.
Mkuu ufafanuzi wako ni ukweli halisi,kwani ukweli ni kuwa c.c.m na mafisadi wake wote hawalali bila kuwaota freeman mbowe na dk.slaa kwani hawa ni roho ya chama chetu.
Siyo kwamba wakiondoka leo chadema itakufa la hasha ila mchango wao na utendaji kazi wao ni wa kipekee na bora zaidi hapa nchini.
-binafsi na wanachadema wote tupingane na kupambana na hii mikakati ovu ya c.c.m kupitia kwa msajili wa vyama ambaye amemua kutumika na wahujumu wa demokrasia.
acheni kuweweseka na kujipamba kupitia tz daima la udaku. Fanyeni baraza kuu,rekebisheni hicho kipengele mlichonyofoa kinyemela cha ukomo wa uongozi,hizi tirarira haziwasaidii kamwe
Chadema wanajimaliza wenyewe.
wakati unasema wanajimaliza jana mabalozi 6 wa ccm tanga wajiunga na cdm sasa nan anajimaliza?
Hivi kuna watanzania wanaamini Chadema ipo siku watachukuwa dola labda dola ya Marekani au ya Zimbabwe.
Mkuu naona Ritz anasema cdm inajimaliza yenyewe kwa sababu ya kuwatetea wananchi na kupinga maovu ya magamba.
Kwanini mlinyofoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela?
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU
Ni Gazeti makin linalotoa habari makini, za kweli na zilizochambuliwa na watu makini. Huwezi kukuta kwa wauza maandazi. Ila Tanzania Daima lipo mpaka choonina uhuru ni gazeti la nn?
Unapaswa kufuata sheria zote za mchezoUwanja wenu refa wenu na mpira wenu,je haki hupatikanaje kwa mazingira kama hayo ?
Siamini kama kuna Mmawia anashabikia chama cha wachaggaUjue siku cdm ikichukua dola nyie magamba lazima muikimbie nchi,vinginevyo mtaozea jela.
Siamini kama kuna Mmawia anashabikia chama cha wachagga
CDM inapumulia mashine,watabaki wa kanda yenu hiyo hiyo.