Njaa Haina Adabu

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,556
12,676
FB_IMG_1527705791607.jpg
 
Magwanda hayo kufanya nje ya kazi yake.Hana discipline anaweza lishwa hata chakula chenye madawa ya kulevya akiwa lindo na kuporwa!

Ni kweli anayoyafanya ni tofauti na kazi yake hata hivyo sidhani kama alikuwa anataka kula hilo tunda, hapo pembeni mkono wetu wa kulia kuna mtoto ambae nadhani ameomba asaidiwe kuangua hayo matunda.
 
tatizo watu wamezoea town wanakula maembe yaliyopakwa pilipili na chumvi, lazima ashangae wa kijijini wanakula kutoka kwenye mti moja kwa moja
 
huu ni uchochezi wa waziwazi, hahaa ayo maembe ya bure ndio maana unaona kamanda kayakomalia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom