tRNA
Member
- Jan 10, 2023
- 88
- 288
Habari wadau,
Nina gari Vitz New model lakini ipo chini sana, ukipita kwenye tuta kubwa au rough road yenye mabonde mabonde lazima iguse chini. Najua humu kuna wataalam wa haya mambo mimi sio mtaalam kabisa wa magari!
Katika kutafuta ushauri wa hili swala wengine wameniambia niweke spensa ili gari inyanyuke kidogo wengine wanasema niweke shokap zipo za kisasa gari haigusi chini tena.
Naomba ushauri wataalam katika hili.
Nina gari Vitz New model lakini ipo chini sana, ukipita kwenye tuta kubwa au rough road yenye mabonde mabonde lazima iguse chini. Najua humu kuna wataalam wa haya mambo mimi sio mtaalam kabisa wa magari!
Katika kutafuta ushauri wa hili swala wengine wameniambia niweke spensa ili gari inyanyuke kidogo wengine wanasema niweke shokap zipo za kisasa gari haigusi chini tena.
Naomba ushauri wataalam katika hili.