kumi kwenda juu?
Mimi nakushauri ili usihangaishe akili yako uamue kuwa mtawa (sista) kabisaa.Ingawa mara moja moja unaweza kuwa kitoweo cha mapadri lakini haitakusumbua sana.
<br />Mimi nakushauri ili usihangaishe akili yako uamue kuwa mtawa (sista) kabisaa.Ingawa mara moja moja unaweza kuwa kitoweo cha mapadri lakini haitakusumbua sana.
Ndio maana ulaya waliruhusu ndoa za jinsia moja kuondoa mgongano wa mawazo! Wewe angukia kwa yoyote umpendaye ,ni ngumu kumfuraisha kila mmoja!
how old is usher raymond?his wife?
how old was bobby brown?his wife whitney?
how old is beyonce?his hubby?
age is nothing
<br /><font size="4"><font color="#ff0000">kama ni msichana ukiwa una date na mwanaume mdogo unajifeel unconfortable kwenye iyo relationship hata kama anakupenda, jamii nayo midomo juu<br />
<br />
ukidate na mwanaume wa rika lako mwanaume anaringa ,unaumizwa regularly,yaani ni full mateso wewe ndo unapenda zaidi wewe ndo unashikilia penzi upendo toka kwa mwenzako ni wa kubahatisha,mnaishi kimachale machale any time unaeza kuachwa.<br />
<br />
Ukidate na mwanaume mtu mzima hata kama unampenda hajiamini, jamii inakuchukulia kama unamchuna, yeye mwenyewe anaona uko kwa kitu flani pia unamsaliti lakini atakupenda.<br />
<br />
Niambieni niangukie kipengele gani nitakuwa na amani?<br />
</font></font>