BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
MASWALI MAGUMU
1. Ukiiba fedha ya umma unaitwa mwizi/fisadi. Ukiiba kura tukuiteje?
2. Ukilazimisha kufanya mapenzi na mtu unaitwa mbakaji, je ukilazimisha kumtawala mtu kinyume na mapenzi take tukuiteje?
3. Ukichaguliwa kupitia Uchaguzi huru na wa HAKI unaitwa kiongozi; Je ukichaguliwa kupitia mizengwe, ubabe na hila tukuiteje?
SI MAONI YANGU, NI WACHORA VIBONZO. SHUKRANI ZIWAENDEE WAO. LAWAMA ZIJE KWA NJIA YA KIBONZO KINGINE.
Askofu Bagonza
1. Ukiiba fedha ya umma unaitwa mwizi/fisadi. Ukiiba kura tukuiteje?
2. Ukilazimisha kufanya mapenzi na mtu unaitwa mbakaji, je ukilazimisha kumtawala mtu kinyume na mapenzi take tukuiteje?
3. Ukichaguliwa kupitia Uchaguzi huru na wa HAKI unaitwa kiongozi; Je ukichaguliwa kupitia mizengwe, ubabe na hila tukuiteje?
SI MAONI YANGU, NI WACHORA VIBONZO. SHUKRANI ZIWAENDEE WAO. LAWAMA ZIJE KWA NJIA YA KIBONZO KINGINE.
Askofu Bagonza