M MlimaSayuni JF-Expert Member Joined Mar 23, 2013 Posts 6,543 Reaction score 11,644 Oct 27, 2025 #1 Ndugu wa Tanzania jiandaeni na Maandamano, ikitokea mvua mjue ni baraka.
Lucha JF-Expert Member Joined Aug 24, 2018 Posts 20,325 Reaction score 62,202 Oct 27, 2025 #2 Dogo punguza presha mbona kama umeanza kuingia baridi?
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 61,236 Reaction score 98,403 Oct 27, 2025 #3 Yasijekuwa yaleyale ya Kinjekitile Ngwale na risasi za Mjerumani kugeuka maji,maana kuingizana chaka hakujaanza leo hapa Bongo country.
Yasijekuwa yaleyale ya Kinjekitile Ngwale na risasi za Mjerumani kugeuka maji,maana kuingizana chaka hakujaanza leo hapa Bongo country.
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Oct 27, 2025 #4 Usiku ndio kabisaaa hata hayalipuki.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,734 Reaction score 118,638 Oct 27, 2025 #5 Wakija na vile vimbwa vyao koko, vitupieni tu makongoro! Kutokana na njaa, vitakula na kuacha kuwabwekea.
Wakija na vile vimbwa vyao koko, vitupieni tu makongoro! Kutokana na njaa, vitakula na kuacha kuwabwekea.