Achana na mimi
Member
- Jan 16, 2013
- 23
- 4
Mwalimu wakiume alipowaambia wanafunzi watunge vitendawili na hapo ndipo mwanafunzi m1 wa kike aliposema 'nivue nguo nikupe utamu,.,mwalimu alikasirika nakuanza kumcharaza yule denti bakora.,ndipo wanafunzi wenzake wakamtetea na kumwambia mwalimu kuwa jibu ni ndizi..
Mwalimu hoi
Mwalimu hoi