Niuzie simu hii tarehe 5 Dec

Niuzie simu hii tarehe 5 Dec

Tujisahihishe Tz

Platinum Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
3,061
Reaction score
1,367
Kama unauza simu nicheki tarehe hiyo tajwa hapo kwenye heading mwezi ujao kwa bei ya 2k (laki mbili)

Sifa za simu:

1.Iwe inakaa na chaji kuanzia masaa matano, chini ya hapo usinitafute.(muhimu)

2.Iwe na ukubwa wa screen kuanzia 5. chini ya hapo tutaangalia na aina ya simu.(muhimu)

3.Miongoni mwa makampuni haya mtapewa kipaumbele sony, Samsung, tecno(C8), Lumia

4.Isiwe na michubuko yoyote

5.Utoe na guarantee kama ikizingua nakurudishia

6.Isiwe imetumika zaidi ya miezi 6 zaidi ya hapo bettry itakuwa kimeo(muhimu)


kwa maelezo zaidi ya kufanya biashara nicheki kwa kunitumia sms kama ukipiga na usinipate hewani no. +255628066619 hallotel
 
Haujaweka iphone au hauzitaki? 👁
 
pesa yenyewe ndogo lakini una masharti milioni kumi kidogo aaah
 
Ukishaweka Tecno tu inaonesha ww umezoea cheap commodities
 
mtazamo wako mkuu, ila tecno c8 ni bora zaidi kuliko simu zenye gharama kubwa kwa kupenda sifa

U can't convince me aisee, tecno is the cheapest phone ever in the market
 
mtazamo wako mkuu, ila tecno c8 ni bora zaidi kuliko simu zenye gharama kubwa kwa kupenda sifa

U can't be serious, how can you compare chinese brand with original smart phones like samsung, iphone and the like?
 
U can't be serious, how can you compare chinese brand with original smart phones like samsung, iphone and the like?

Kwa hiyo Tecno sio original ??? Pasua mkubwa wewe !!! Simu huzijui alafu unaleta story hapa !!!
 
Back
Top Bottom