Niuzie simu hii tarehe 5 Dec

Niuzie simu hii tarehe 5 Dec

Kama unauza simu nicheki tarehe hiyo tajwa hapo kwenye heading mwezi ujao kwa bei ya 2k (laki mbili)

Sifa za simu:

1.Iwe inakaa na chaji kuanzia masaa matano, chini ya hapo usinitafute.(muhimu)

2.Iwe na ukubwa wa screen kuanzia 5. chini ya hapo tutaangalia na aina ya simu.(muhimu)

3.Miongoni mwa makampuni haya mtapewa kipaumbele sony, Samsung, tecno(C8), Lumia

4.Isiwe na michubuko yoyote

5.Utoe na guarantee kama ikizingua nakurudishia

6.Isiwe imetumika zaidi ya miezi 6 zaidi ya hapo bettry itakuwa kimeo(muhimu)


kwa maelezo zaidi ya kufanya biashara nicheki kwa kunitumia sms kama ukipiga na usinipate hewani no. +255628066619 hallotel
Hapa balaa, mnunuzi ana masharti maana kapata pesa kwa shida, muuzaji naye ana bei yake maana anafahamu gharama alizotumia; mwisho wa siku mnunuzi itabidi ufuate muuzaji atakacho maana wewe ndio wahitaji zaidi. Punguza masharti bwana.
 
Kwa hiyo Tecno sio original ??? Pasua mkubwa wewe !!! Simu huzijui alafu unaleta story hapa !!!

Hahahahaaa we jamaa unaandikaga comments zako as if uko chooni unaugulia kipindu pindu
 
Tecno is not the cheapest !!! Nataka ujue Hilo kwanza !!!

Brands kama itel na Viwa ndiyo unaweza kusema ndiyo cheapest

Tecno ni mojawapo ya cheap phones , hazina added advantage yoyote ..
 
Hapa balaa, mnunuzi ana masharti maana kapata pesa kwa shida, muuzaji naye ana bei yake maana anafahamu gharama alizotumia; mwisho wa siku mnunuzi itabidi ufuate muuzaji atakacho maana wewe ndio wahitaji zaidi. Punguza masharti bwana.

Haya mkuu, we leta mzigo tarehe hiyo
 
Kwa bei hiyo
Kwa brands za Sony, Samsung,Na Nokia
Kwa condition hizo ulizoweka
Simu hizo utazisikia Kwa wenzio tu wakiwa nazo.
 
Tecno ni mojawapo ya cheap phones , hazina added advantage yoyote ..

Yes hapo sawa !!! Ni moja wapo ya cheap phones !!! Sio cheapest kama jamaa anavyosema !!! Viwa na itel ndio cheapest smartphones !!!

Ila TECNO wana high end pia !!! Kama phantom 5 !!! Inauzwa 750,000 - 800,000
 
Kwa bei hiyo
Kwa brands za Sony, Samsung,Na Nokia
Kwa condition hizo ulizoweka
Simu hizo utazisikia Kwa wenzio tu wakiwa nazo.

Hakuna brand nisiyoipenda km Samsung. Nimewahi kuwa nazo kadhaa, tecno ni bora kuliko Samsung
 
Hakuna brand nisiyoipenda km Samsung. Nimewahi kuwa nazo kadhaa, tecno ni bora kuliko Samsung
Mkuu inawezekana hujawahi kumiliki samsung, nyingi zilizopo mitaani ni za kichina (clone)
kwani wewe umewahi kumiliki samsung aina gani?
 
Kwa hiyo Tecno sio original ??? Pasua mkubwa wewe !!! Simu huzijui alafu unaleta story hapa !!!

Nitajie processor ya tecno, alafu nitajie na processor ya samsung...then tujadili tofauti zake ni nini?
 
Nitajie processor ya tecno, alafu nitajie na processor ya samsung...then tujadili tofauti zake ni nini?

Pasua tu !!! Huna lolote !!! Samsung Ipo juu kwa quality !!! Lakini haimaanishi TECNO sio original because ni Chinese brand !!!

Xiaomi Mi karibuni itakuwa number 1 despite being Chinese brand
 
Pasua tu !!! Huna lolote !!! Samsung Ipo juu kwa quality !!! Lakini haimaanishi TECNO sio original because ni Chinese brand !!!

Xiaomi Mi karibuni itakuwa number 1 despite being Chinese brand

Mwambie sasa huyo jelebi mwenzio washwa washwa
 
Back
Top Bottom