Matatizo ndugu mti mkavu... Pesa imekuwa adimu kaka hivyo ni bora nipate hasara lkn unaokoa maisha ya mtunazidi kupata nguvu baada ya kuona hela yetu imepanda thamani leo hii mtu unanunua crown kwa mil 3??!!
pole sana mkuu yalinikuta hata mimi nimepoteza vingi tu watu wanasahau kua roho ndo ya msingi na si material thingsMatatizo ndugu mti mkavu... Pesa imekuwa adimu kaka hivyo ni bora nipate hasara lkn unaokoa maisha ya mtu
Hii kwa kweli hata mm nahitaji kuiona,pigoet??!!ndo gari gani?!Picha Mkuu
Ukiwa na gari kama hiyo ndugu ni pingu ya maisha....ni mpaka hapo mmoja atakapoaga dunia.Nina Pigoet ya mwaka 1956
Safi sana kwa picha mkuu
Duhhh,aisee,hahahahNatupia hapa kama kule hujaona. Hiyo kitu ni 4wd. ROHO YA PAKA
Engine yake bomba haijachezewa, huyo fundi wako atakuhakikishia hiyo. Mie nina ingine naikamilisha milango 5 (ipo hapo ndani ya gate) ndio sababu ya kuuza hiyo. Kuhusu road license tutaangalia namna ya kuweka sawa
Engine ni 16G, sio ya nozel moja. Gear box zinaingiliana sema ubora wake. Hapo kwenye hiyo ipo manual.Hiyo Escudo 3door kama ina engine ya 16GA inafaa sana,gari ngumu na inakubali matengenezo,lakini kama ni ya "nosel"moja mtihani sana,kwanza hata gearbox zake hupati.
Hiyo ni nzuriEngine ni 16G, sio ya nozel moja. Gear box zinaingiliana sema ubora wake. Hapo kwenye hiyo ipo manual.
Najiamini kwa ninachoongea, ndio mana nikamwambia mkuu aje na fundi wake. Hapo ilipo si unaona haijakaa mkao wa kulala. Niliweka angalizo kuwa linahitaji rangi na road licence.Duhhh,aisee,hahahah
Yaani ungeliandika tangazo vizuri ingekaa sawa,ila mwisho ndio umeharibu kabisaaa.
Nimependa mistari ya Rangi nyekundu,maana najua leo ni Simba day
Acha dharau kuna gari za maan na bei ni chini ya hapoulikuwa unamaanisha gari au mkokoteni?
Hakika utakuwa huyafahamu magari....labda uanze kununua matairi na sit covers ndugu
Gari nzima kwa milllion 1 in which currency tehe tehe tehe teheHakika utakuwa huyafahamu magari....
kuna gari za mpaka milioni moja 1m na ni nziiimaaa
Kwa shilingi ya ki Tanzania.Gari nzima kwa milllion 1 in which currency tehe tehe tehe tehe