LolNatupia hapa kama kule hujaona. Hiyo kitu ni 4wd. ROHO YA PAKA
Engine yake bomba haijachezewa, huyo fundi wako atakuhakikishia hiyo. Mie nina ingine naikamilisha milango 5 (ipo hapo ndani ya gate) ndio sababu ya kuuza hiyo. Kuhusu road license tutaangalia namna ya kuweka sawa
Yap haina deniImelipiwa road licence
Kama utahitaji utaniambia uje na fundi wako muiangalie...Mkuu unapoint nzito sana
Kwikwikwiulikuwa unamaanisha gari au mkokoteni?
Gx 100 nzuri namba c ... 3. 8 kama upo safi njoo inboxKama heading inavyosema...nina mil 3 cash.
Ahaha watu mna vituko. Sasa kama haina usukani Ataendeshaje?Njoo uchukue volkswagen comb kama ile aliokuwa amataumia yule padre pale beirut kwa ile movie ya missing in action ya churcknorris ila haina usukani
ukiwa una stress njoo jf.................zitaisha tuuuuuuuuuuuuuuuulikuwa unamaanisha gari au mkokoteni?
watu tunanunua na sisi apa apa kweye uu uzi...
keybodi yangu aina erufi h