Najaribu bahati yangu Kaka.dau likizidi kidogo sio mbaya,karibu sana....
Kwa bajet hiyo wese la 2490cc hutaliwezaEti!!!naongeza kdg 8.5mil
Btw mie ndo nanunua kwa ajili yangu.
Ahsante kwa ushauri.Mkuu hiyo chini ya 10m si rahisi kupata.
Ni classic na semi luxury saloon car.
Ukizingatia hazijazagaa sana mtaani.
Andaa 12m kwa number D
OK..mkuu nisikukatishe tamaa pambana,Ahsante kwa ushauri.
8.5mil ipo na uzuri sina haraka na gari.naweza kununua aina nyingine ikinibidi.kwa sasa nahitaji iyo Athlete.
kama unayo,karibu whatsp
ahsante sana kiongoziOK..mkuu nisikukatishe tamaa pambana,
Ila kwa experience yangu ndogo ya masuala ya magari sijawahi ona crown athletes inauzwa kwa bei chini ya 12m, labda crown royal saloon unaweza pata hata kwa 11-10m
Nadhan kwa kuwa hata wanaomiliki wako katika uchumi mzuri (welfares)
Hata akifulia hawezi uza kwa bei ya kutupa kiasi hicho.
Kwa hiyo offer ungecheki upande wa gari kama BREVIS, PREMIO nadhan ungeweza kupata zilizo vizuri zaidi.
View attachment 952722
Mkuu hio gari wese la 65,000 unatembea 200KM mbona hapo ni fresh kwa misele plus A/C na foleni, maana yenyewe ni 1L = 7.87KMKwa bajet hiyo wese la 2490cc hutaliweza
Mkuu hilo gari nina uhakika kwamba kati ya Disemba na January 2019 utalipata maana hapo watu vyuma vitawabana tuahsante sana kiongozi
Naamini itapatikana ...msimu wa sikukuu huu.sina haraka as long as pesa ipo.
Ahsante kwa kunipa Moyo.Mkuu hilo gari nina uhakika kwamba kati ya Disemba na January 2019 utalipata maana hapo watu vyuma vitawabana tu
Hiyo ni bei ya Bajaj.Eti!!!naongeza kdg 8.5mil
Btw mie ndo nanunua kwa ajili yangu.