Niunganisheni na yule Mtanzania aliyefungua Mgahawa Sweden nikaoshe Vyombo. nina Diploma ya Catering

hahaaaa mie kichwa changu ni hapo kimegota.

yupo Sweden au alikuwepo akarudi?

KM una kibali cha kuishi humo fungua mgahawa wako mweyewe mkuu,

Nchi nyingi za ulaya huhitaji capital kuanzisha biashara yako,kuna scheme nyingi zinazotoa grants ama loans.

Becky naona leo kusoma na kuelewa ni mgogoro eeh? :D:D:D:D
 
Nimekutumia namba yake kwenye pm... Mcheki whatsapp


Tatiana, safi sana Mkuu. Continue being helpful to people in need.

Umempa pa kuanzia. Kazi kwake sasa kuji-link yeye mwenyewe kwa mhusika. Ajue tu kujieleza.

-Kaveli-
 
Kwa uzoefu huo nenda kajaribu bahati Zanzibar.

Wakuu,

Mimi ni msomi wa ngazi ya Diploma; Hotel Management & Catering na nina uzoefu wa miaka 4. Naombeni kwa yeyote anayemfahamu au mwenye mawasiliano na yule Mtanzania mwenzangu aliye fungua Mgahawa/Restaurant nchini Sweden niende nikawe hata Muosha vyombo maana nimehangaika sana sipati kazi japo nina sifa zote za kuajiriwa.

Nimekuwa nakula kwa kuunga unga kwa rafiki yangu ambaye ni mpishi wa Hoteli flani, ananiibia chakula na kunipitishia nyumbani. Hali imekuwa ngumu nikauza simu ambapo hela imeishia kwenye kutoa copy za Vyeti na Nauli za kuwasilishia maombi ya kazi bila mafanikio. Imebidi nije Internet cafe niwaandikieni, kama unamfahamu yule Mtanzania basi niunganishe nae. Nina ile Passport ndogo lakini ntajitahidi nipate kubwa lakini sina hata elfu 5 ya kunilinda linda aisee.

Najitahidi kuwa positive na kujikaza lakini kuna wakati nalia maana kila ninaemwelezea ananiambia kila mtu ana hali mbaya. Sasa leo nikapata wazo kwamba yule mtanzania wa Sweden anaweza kunisaidia. Please niPM...Niunganisheni nae jamani.
 
Tatiana, safi sana Mkuu. Continue being helpful to people in need.

Umempa pa kuanzia. Kazi kwake sasa kuji-link yeye mwenyewe kwa mhusika. Ajue tu kujieleza.

-Kaveli-
Shukrani Mkuu.... Daaah Inasikitisha sana basi tu...
 
Mleta mada, pole sana kwa hizo 'pasua kichwa' za kimaisha. Daaah I can feel the situation coz vijana wengi tupo on the same shoes! In this Life, it's really hard to break through.

Funga mkanda, kaza na kamba. Unapohisi kichwa kina-burst kwa stress, basi weka muziki so that to refresh the folder of thinking.

Mungu akufanyie wepesi... inshaAllah.
-Kaveli-
 
Shukrani Mkuu.... Daaah Inasikitisha sana basi tu...


Refa kauzu, uwanja wenyewe mkavu. Kilichobaki kucheza rafu tu.

Noma sana maisha walai. Watu tunapumulia pua moja! Hatareee.

Bongo nyosso. Bongo mufillisi.
-Kaveli-
 
Wakuu,

Mimi ni msomi wa ngazi ya Diploma; Hotel Management & Catering na nina uzoefu wa miaka 4. Naombeni kwa yeyote anayemfahamu au mwenye mawasiliano na yule Mtanzania mwenzangu aliye fungua Mgahawa/Restaurant nchini Sweden niende nikawe hata Muosha vyombo maana nimehangaika sana sipati kazi japo nina sifa zote za kuajiriwa.

Nimekuwa nakula kwa kuunga unga kwa rafiki yangu ambaye ni mpishi wa Hoteli flani, ananiibia chakula na kunipitishia nyumbani. Hali imekuwa ngumu nikauza simu ambapo hela imeishia kwenye kutoa copy za Vyeti na Nauli za kuwasilishia maombi ya kazi bila mafanikio. Imebidi nije Internet cafe niwaandikieni, kama unamfahamu yule Mtanzania basi niunganishe nae. Nina ile Passport ndogo lakini ntajitahidi nipate kubwa lakini sina hata elfu 5 ya kunilinda linda aisee.

Najitahidi kuwa positive na kujikaza lakini kuna wakati nalia maana kila ninaemwelezea ananiambia kila mtu ana hali mbaya. Sasa leo nikapata wazo kwamba yule mtanzania wa Sweden anaweza kunisaidia. Please niPM...Niunganisheni nae jamani.
Mkuu kuna kitu nimekuuliza PM, nasubiri jibu lako
 
Wakuu,

Mimi ni msomi wa ngazi ya Diploma; Hotel Management & Catering na nina uzoefu wa miaka 4. Naombeni kwa yeyote anayemfahamu au mwenye mawasiliano na yule Mtanzania mwenzangu aliye fungua Mgahawa/Restaurant nchini Sweden niende nikawe hata Muosha vyombo maana nimehangaika sana sipati kazi japo nina sifa zote za kuajiriwa.

Nimekuwa nakula kwa kuunga unga kwa rafiki yangu ambaye ni mpishi wa Hoteli flani, ananiibia chakula na kunipitishia nyumbani. Hali imekuwa ngumu nikauza simu ambapo hela imeishia kwenye kutoa copy za Vyeti na Nauli za kuwasilishia maombi ya kazi bila mafanikio. Imebidi nije Internet cafe niwaandikieni, kama unamfahamu yule Mtanzania basi niunganishe nae. Nina ile Passport ndogo lakini ntajitahidi nipate kubwa lakini sina hata elfu 5 ya kunilinda linda aisee.

Najitahidi kuwa positive na kujikaza lakini kuna wakati nalia maana kila ninaemwelezea ananiambia kila mtu ana hali mbaya. Sasa leo nikapata wazo kwamba yule mtanzania wa Sweden anaweza kunisaidia. Please niPM...Niunganisheni nae jamani.
Pole sana ndugu...

Huyo mtanzania unayemuulizia anaitwa Issa Kapande (picha chini hapo), anaishi ktk mji wa Trollhättan, Sweden. Waweza mpata kwa namba hii ya telia (telia ni kama vile tigo, vodacom au halotel) +46 70-929 73 84. Kwa urahisi tia bundle la internet kisha mpigie kwa whatsapp maana kwa kupiga simu kwa njia ya kawaida itakugharimu zaidi.

Nakutakia kila la kheri.
14716049_1158913307531842_6355931860510277523_n.jpg
 
Back
Top Bottom