Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Ungejua unavyonekana wa hovyo humu ungejinyamazia tu
kuonekana ni nonsense kabisaa gentleman,
inasaidia nini kuonekana umevaa kigodoro kwa mfano?

ni muhim zaidi zingatia ukweli katika mawaidha yangu muhimu sana na itakusaiadia sana wewe, familia yako na wadau wengine makini wa JF 🐒
 
kuonekana ni nonsense kabisaa gentleman,
inasaidia nini kuonekana umevaa kigodoro kwa mfano?

ni muhim zaidi zingatia ukweli katika mawaidha yangu muhimu sana na itakusaiadia sana wewe, familia yako na wadau wengine makini wa JF 🐒
Umekuja hapa kuharibu uzi, peleka siasa lumumba
 
Leo Nusratt Mohammed nimepata nafasi kuliko siku zote tangu nimejiunga humu JF (Jamii Africa).

Hivyo basi kutokana na jambo hili natoa nafasi kwa member yeyote aliyepo MMU:-
Kuniuliza Swali,
Kunikosoa kwa lolote,
Kunishauri Chochote,
Kunipongeza kwa lolote.

ILA:
Maswali yasiyo na tija na yasiyo na mrengo wa MMU sitayajibu,

Maswali yatakayodhalilisha jukwaa sitayajibu,

Maswali ya kipumbavu na ya kipuuzi sitayajibu,

Maswali yaliyo nje ya uwezo wangu pia sitayajibu.

Kuna wale walio kwenye ignore list yangu, hao nao sitaweza kujibu maswali yao (wanajijua)

Nipongezeni, nishaurini, nikosoeni ili niweze kujirekebisha maana kuna watu humu wana hasira sana na mimi wakati sijawakosea lolote.


Najua kama nchi tunapitia kipindi kigumu sana nyakati hizi, ila tunaomba tuvumiliane tu wapendwa.

Mimi nawapenda sana wanajukwaa wa JF (JA)
Allah aendelee kutusimamia katika mapambano ya utafutaji wa riziki zetu.

Jioni njema.

View attachment 3315319
Wewe N dume tunajua...Je hujui kutoa ndogo ni laana?
 
Mkuu weka Ile picha flan,,
Kama video ila sio yaani upo kama unakalia baskeri hivi
 
Mkuu weka Ile picha flan,,
Kama video ila sio yaani upo kama unakalia baskeri hivi
🤭🤭🤭
VID_20250425_073942_793_1.gif

dd2299ea64d34a168fd532cef61a186f_1.gif
 
Back
Top Bottom