Niulize chochote nikujibu

Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanavyo.
Kwanini kwenye kutafsiri maana ya giza lazima ndani yake watu hugusia mwanga..?
giza kama giza kwanini isiwe na tafsiri yake bila kugusia mwanga..?

is the darkness has frequency..?
if yes why..? and if no why..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…