Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Kuna e-commerce kama KibubuApp ya Tanzania, Alibaba ya China n.k, je wanakusanya fedha kwa watu kwa ajili ya faida kama nyie?
Kwa muundo wa kwenu wa kukusanya fedha na kutoa faida mnapaswa kuwa mmesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mitaji na Masoko (CMSA), Je mmesajiliwa na mamlaka hii?
 
Tayari vimeshaumana
Kuna e-commerce kama KibubuApp ya Tanzania, Alibaba ya China n.k, je wanakusanya fedha kwa watu kwa ajili ya faida kama nyie?
Kwa muundo wa kwenu wa kukusanya fedha na kutoa faida mnapaswa kuwa mmesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mitaji na Masoko (CMSA), Je mmesajiliwa na mamlaka hii?
 
Kwa nnavyofaham mimi; Kalynda ni Platform ambayo inajihusisha na kitengo cha masoko ya makampuni yanayofanya biashara mtandaoni... Mfano mimi nna kampuni yangu na nauza vitu mtandaoni... lakini kabla mteja hajanunua kitu kwangu atahitaji kujua uzoefu wangu katika mauzo... hapo ataangulia ranking ya mauzo sokoni ukinilinganisha na platform nyengine... na hapa ndipo Kalynda walipotengeneza platform ambayo inashirikiana na kampuni mbalimbali kuongeza selling ratings katika masoko yako... ili kujijengea uaminifu kwa wateja na kutanua soko la kampuni husika!

Mnauza nini?
 
Sijui ni akili yangu au vipi mimi nikishaona issue yoyote ina ku invite watu najua kabisa kuna liquidity inatengenezwa watu wapigwe ela, sijui hio kalynda ilikua inafanyaje kazi ila mfano mzuri rejea Idea debater.

IMG_20221009_220123.jpg
 
Kampuni haiuzi cho chote. Ukiuliza mnazalishaje hizo pesa wakati wala hamuwekezi hakuna jibu. Hela zinajizalisha tu kama chuma ulete. Ni typical pure ponzi/pyramid scheme. Wale wa mwanzo mwanzo na chambo wengine wachache ndo wanalambishwa vitone vya asali ili wakawalete makondoo wengine wengi zaidi. Jamaa wakiona mzigo umetosha hao wanasepa.

Na hawa wanalindwa na vigogo maana utapeli ni ule ule lakini Brela bado wanatoa leseni. Ukifuatilia utakuta bosi wa hii ni kibopa huko serikalini au mtoto wa kigogo fulani.
State financed scam's....
Kila wakati zinakuja kivingine na Zina operate na hakuna serikali kusema lolote,zikishakusanya mpunga wa kutosha serikali hujifanya kuzifungia na zikifungwa pesa huchululiwa na serikali ndio imetoka hiyo
 
Kwa nnavyofaham mimi; Kalynda ni Platform ambayo inajihusisha na kitengo cha masoko ya makampuni yanayofanya biashara mtandaoni... Mfano mimi nna kampuni yangu na nauza vitu mtandaoni... lakini kabla mteja hajanunua kitu kwangu atahitaji kujua uzoefu wangu katika mauzo... hapo ataangulia ranking ya mauzo sokoni ukinilinganisha na platform nyengine... na hapa ndipo Kalynda walipotengeneza platform ambayo inashirikiana na kampuni mbalimbali kuongeza selling ratings katika masoko yako... ili kujijengea uaminifu kwa wateja na kutanua soko la kampuni husika!
Biashara ya kitapeli ni kama hii ambayo kwenye appstore hakuna key info kuhusu huu mradi. Unakuta tu link ya kudanlodi na si zaidi ya hapo.

Wafanyieni hisani Watanzania. Wanaumizwa na mfumo wa hovyo kiuchumi, warejesheeni hata nusu ya mlichowakapulia
 
Back
Top Bottom