Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
kwan DUCE ni ile tu ya changombe au hata main campus ipo?
Alafu kuhus hostels kwa Duce ya changombe zipo WAP kaka nawasilisha
vp kuhusu gharama za hostel zkoje hapo na zpo wap? na unaenza kukaa hostel kpnd chote cha kozi
Kuna tatizo vyuoni walimu kuwa na uhusiano wa kimapenzi, hasa wadada wazuri na hata kuvunja ndoa. Vipi hapo naweza mleta mchumba wangu akatoka salama?
Dk Mselemu Yupo?Ha Ha Haa.Je Kuna Masters Hapo Niombe Mwakani?
Nimchaguliwa hapo duce ila sijapenda kusoma education sasa nataka nafasi iyo niliyopata nije nikung^utie watoto kali, nauliza vipi kuna watoto wakali wanasoma education mm nipo mkoa wa kagera uku
Dr Chua yupo?
Gharama za hostel za mabibo kama sijakosea ni Tshs 75000 per first semester ( semester ya pili gharama ina pungua kidogo) the same to mbagala hostels. kwa hostels za ndani gharama yake ni Tshs 110000 per first semester kwa second semester ni 95000.
kuhusu kukaa hostel, unaruhusiwa kukaa hostel only ukiwa first year otherwise uwe na special case au ni kiongozi wa DARUSO ndo itapangiwa hostel kwa second year.
Gharama za hostel za mabibo kama sijakosea ni Tshs 75000 per first semester ( semester ya pili gharama ina pungua kidogo) the same to mbagala hostels. kwa hostels za ndani gharama yake ni Tshs 110000 per first semester kwa second semester ni 95000.
kuhusu kukaa hostel, unaruhusiwa kukaa hostel only ukiwa first year otherwise uwe na special case au ni kiongozi wa DARUSO ndo itapangiwa hostel kwa second year.
DARUSO ndo nin
Hostels za mbagala zipo mbagala ipi?