hansluvanga
Member
- Apr 18, 2014
- 96
- 25
Nakaribisha maswali kwa yeyoye anaetaka kufahamu Zaid kuhusu course karibuni #elimunikuwanataarifa
CBE dsm bossInatolewa chuo gani hapa Tz.
Kuna mwanga kidgVipi kuhusu ajira zake zimekaaje
Ni koz nzuri next tym mshaur aje asomeDaah kuna mdogo wangu alichaguliwa hii kozi katika ngazi ya cheti kuelekea diploma, nikamshauri aipige chini maana hatukuwa na taarifa za kutosha.
Natamani huu uzi ungekuwepo wakati huo nikuilize mawili matatu.
Alipata kozi nyingine, geomatics.Ni koz nzuri next tym mshaur aje asome
Alipata kozi nyingine, geomatics.
Ila mkuu hansluvanga ungeeleza yote unayoyajua kuhusu hiyo kozi, then kama kuna mtu ana specific issue ndo aulize hapa.
Kwa kufanya hivyo ungejenga interest ya watu kuifahamu.
Kwa sasa huenda watu wanakosa cha kuuliza kwa kuwa hawana ufahamu nayo na ni ngeni maskioni mwao.
Wewe ni muajiriwa,muajiri au mwanafunzi bado?Ni koz nzuri next tym mshaur aje asome
Anakua metrologist kaz zake kubwa n kufanya uhakiki wa mizan inayotumika katika biasharaMtu akimaliza kusoma hii anakuwa anaitwaje, Metrologist au? Au Legal industialist? Na kazi yake inakuw nini hasa?
StudentWewe ni muajiriwa,muajiri au mwanafunzi bado?
DDE katika PCB Advance na Div 1ya point16 Olevel yenye CAB katika PCB na maths B naweza kuchaguliwa bachelor ya metrology and standardization hapo CBE kiongozi?Nakaribisha maswali kwa yeyoye anaetaka kufahamu Zaid kuhusu course hii 0758217840 karibuni #elimunikuwanataarifa
Ndio bossDDE katika PCB Advance na Div 1ya point16 Olevel yenye CAB katika PCB na maths B naweza kuchaguliwa bachelor ya metrology and standardization hapo CBE kiongozi?