Dah! Laki tano mzee ilinunua vitu gani? Kwa maana vitu viko juu sana siku hizi au ulianza na vitu vya msingi tu??Laki tano boss
Dah! Laki tano mzee ilinunua vitu gani? Kwa maana vitu viko juu sana siku hizi au ulianza na vitu vya msingi tu??Laki tano boss
Ukiajiri mtu kubali kuibiwa ila la muhimu hakikisha unapunguza kuibiwa.Je kama umempa mtu auze vitu ni njia gani rahis ya kumthibit awe makin asipoteze au kukopesha bidhaa bila kukumbuka?
nakaziaUkiajiri mtu kubali kuibiwa ila la muhimu hakikisha unapunguza kuibiwa.
Hakikisha Kila siku unakuwepo, unakuwa unajua bidhaa ipi imetoka ipi imepungua.
Usimpe access ya yeye kununua bidhaa ziliisha, hiyo ni kazi Yako.
Fanya ziara za mshtukizo mara Kwa mara.
JIPANGE KUKAA DUKANI MWENYEWE
Hebu fafanua hii mkuu ..kwa mfano nikipata 200k per day faida Bei gani,?Unafanya makadilio ya faida kutokana na mauzo 10% ya mauzo yako ndio faida
20KHebu fafanua hii mkuu ..kwa mfano nikipata 200k per day faida Bei gani,?
Je hii faida unaitenga au unaizungushia Tena?
Inategemea malengo Yako ni nini.Je hii faida unaitenga au unaizungushia Tena?
Ahsante mummy lov uInategemea malengo Yako ni nini.
Kama umeridhika na ukubwa na kipato unachotaka, kula Bata.
Kama unatamani liendelee kuwa kubwa unaingiza kwenye mzunguko.
Malengo yako ya Leo ndio yanaamua maisha Yako ya kesho.
duuu kwa iyo mtu akiwa anataka bidhaa ya 600 alaf ana 500 anasema 100 atakuletea baadaye hapo vip unampa au ??Hakuna uchawi Wala ndumba nazingatia hzi mbinu
*nafungua mapema nachelewa kufunga
*sikopeshi hata kitu Cha Mia kukopesha nikumfukuza mteja
*kuwa msafi na kupanga vitu vizuri kuhakikisha duka linavutia
*usipende tongoza tongoza wake za watu na wasichana wa mtaani hapo utajitengenezea sifa mbaya
*kuwa na huduma nzuri kwa kila mtu
*hakikisha unakua na bidhaa ambazo zinakutambulisha kuwa dukani kwako pekee iyo bidhaa inapatikana
* tafuta machimbo ya Bei rahisi
inawezekana mkuu ukiwa na Nidhamu.. wala hajapiga kambaKuna mwamba hapo ametumwagia chai ️ eti kaanza na laki 5 miezi sita tu duka limekuwa kubwa motivation speaker mnazingua sana
Mzee hizi dawatatu na hawa jamaa wa tfda unakalibiana nao vipi?Nakuunga mkono mkuu. Mimi nimejitahidikufanya hivyo hadi nyanya, matembele, gesi, bia, unga, mchele, kvant, vocha, wakala humohumo ndani ya frem moja. Nimeteka huu mtaaView attachment 2401745View attachment 2401746View attachment 2401747View attachment 2401748View attachment 2401749View attachment 2401750View attachment 2401751
NdiooooooVingi alivyoongea mtoa mada vina ukweli. Bodhaa nyingi zina faida ya 12-30%. Vocha ndo zinakupa 5% faida.
Kama unauza shs 200K per day una uhakika wa faida ya 20K. Per month unakunja 600K.
Kama unafamilia jitahidi matumizi ya familia yasitoke kwenye biashara bila kulipia.
Mfano ukichukua kipande cha sabuni mafuta, sukari nk lipia.
Vinginevyo matumizi yako yakiwa yanatoka dukan hutoboi
Kwenye laki tano ulinunua nn na nn? Nahitaji kuanza Ila mtaji mdogoLaki tano boss
Mwenyewe nimemshtukia inawezekana hata hilo duka sio lake maana huo mzani tu wa kupimia sio chini ya laki 1 hzo shelf ukutani?Kuna mwamba hapo ametumwagia chai ️ eti kaanza na laki 5 miezi sita tu duka limekuwa kubwa motivation speaker mnazingua sana