ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,625
- 2,443
Ndugu zanguni habarini za Asubuhi ? Nimefanyiwa oparesheni ya kwenye utumbo wangu hivi napaswa kutumia vyakula gani ? Na ni vyakula vya aina gani sipaswi kutumia, Mie niliambiwa nisitumie MAHARAGE,UGALI ambao unga wake haujakobolewa, na vitu vigumu vigumu , je na hili zoezi inabidi niende nalo kwa muda gani? maana na nina wiki ya pili sasa na kuna baadhi ya vyakula naogopa kuvitumia nikihisi vitaniletea madhara.
Huwa sina tabia ya kula kula vitu napenda nile kwa muda.
Asubuhi Uji au Chai.
Mchana Chakula.
Na Usiku Mida ya Saa tatu Napata Chakula then nalala.
Karibu kwa mchango wenu.
Huwa sina tabia ya kula kula vitu napenda nile kwa muda.
Asubuhi Uji au Chai.
Mchana Chakula.
Na Usiku Mida ya Saa tatu Napata Chakula then nalala.
Karibu kwa mchango wenu.