aisee! tambua nawewe ungependa mtu akujie kwa staili ipi.Fanya hivyo pia kwa mwingine.vaa vizuri,jiamini unaweza kuongea nae kama rafiki,maelezo sahihi ya bidhaa yako na bidhaa zenyewe beba ,kuwa jeuri kidogo usife moyo kwa hali utakayo kutana nayo kule.sali kabla hujatoka nyumbani.Barikiwa sana
Sent using
Jamii Forums mobile app