Nitumie Moyo au ubongo?

Nitumie Moyo au ubongo?

Wakuu habari,

Nilikua na kademu Fulani ivi na tulipendana zaidi ya sana.Na mapenzi haya huenda yalihimarishwa na changamoto na misukosuko ambayo tumewahi kupitia kipindi cha nyuma.

Kwao ni mkoani Mbeya, na nilikutananae miaka ya nyuma kidogo nikiwa nasomanae chuo kimoja pale mbeya.Ni muda wa miaka mitatu hadi sasa tangu tuachane baada ya kugraduate, na tumekua tukichat sana kwa njia ya simu huku tukiendelea kupanga namna ya kukutana tena japo Mara kadhaa tulikua tukipanga na inashindikana kwa sababu tofauti tofauti.Hivyo amekua akilalamika Mara kwa Mara kwamba amenimiss mno na kila siku ipitayo bila kuniona anaona kama mwaka .

Baada ya kupata nafasi na pesa ambayo ingetosha kwa nauli,ghalama za hotel kwa muda nitakaokaa,gifts ndogo ndogo pamoja na pesa kidogo ya kumuachia nikaona sasa ni muda mzuri wa kumvutia waya.

Katika mazungunzo nikamwambia"Nimepata muda na pesa ya kuja huko na kwa hesabu za haraka haraka nahisi nitakua nimespend kama 1.5 M kukamilisha yote niliyopanga kukamilisha nikiwa huko.Nimeona nikuulize kama nije sasa ivi au nikutumie icho kiasi cha pesa utumie kwa mahitaji yako alafu nije mwakani mwishoni ambapo ndio naweza kupata nafasi nyingine?.

Jibu lake akanijibu eti.
Baby unajua msimu wa sikukuu sio mzuri sana kwa safari , alafu ukizingatia Mimi ni wako tu na nitakutunzia kilicho chako ,Sipendi uteseke kuja kote huku kwa ajili yangu ni bora iyo mwakani mimi ndio nije huko. hivyo nirushie iyo ela tu mpenzi wangu."

Sasa hapa wakuu nishaurini nitumie moyo au akili?maana nikitumia moyo kusema kweli nakapenda bado ila nikitumia ubongo naona kabisa hakafai na wala hakajanimiss wala nini na inawezekana kameshakua kama wale shwaini wa mjini wanaotanguliza pesa mbele.
Kumbe jibu unalo?
 
Kwanza nikupe pole, pili nikusikitikie.
Yan M1.5 unataka uipoteze kizembe tu namna hyo kisa mwanamke tena si mkeo na wala malengo yenu hayaeleweki.
Kwakweli watu tunatofaitiana.
'Ee Mungu naomba uniepushe na upuuz km huu'
 
1.5M kwa kademu..! tena usawa huu wa VYU... VILIVYO KADHAA..! aisee me naona umeamua kuingiza scene ya bongo muvi
 
Nikishindwa kutumia MOYO na AKILI, huwa natumia MIGUU!
 
Wakuu habari,

Nilikua na kademu Fulani ivi na tulipendana zaidi ya sana.Na mapenzi haya huenda yalihimarishwa na changamoto na misukosuko ambayo tumewahi kupitia kipindi cha nyuma.

Kwao ni mkoani Mbeya, na nilikutananae miaka ya nyuma kidogo nikiwa nasomanae chuo kimoja pale mbeya.Ni muda wa miaka mitatu hadi sasa tangu tuachane baada ya kugraduate, na tumekua tukichat sana kwa njia ya simu huku tukiendelea kupanga namna ya kukutana tena japo Mara kadhaa tulikua tukipanga na inashindikana kwa sababu tofauti tofauti.Hivyo amekua akilalamika Mara kwa Mara kwamba amenimiss mno na kila siku ipitayo bila kuniona anaona kama mwaka .

Baada ya kupata nafasi na pesa ambayo ingetosha kwa nauli,ghalama za hotel kwa muda nitakaokaa,gifts ndogo ndogo pamoja na pesa kidogo ya kumuachia nikaona sasa ni muda mzuri wa kumvutia waya.

Katika mazungunzo nikamwambia"Nimepata muda na pesa ya kuja huko na kwa hesabu za haraka haraka nahisi nitakua nimespend kama 1.5 M kukamilisha yote niliyopanga kukamilisha nikiwa huko.Nimeona nikuulize kama nije sasa ivi au nikutumie icho kiasi cha pesa utumie kwa mahitaji yako alafu nije mwakani mwishoni ambapo ndio naweza kupata nafasi nyingine?.

Jibu lake akanijibu eti.
Baby unajua msimu wa sikukuu sio mzuri sana kwa safari , alafu ukizingatia Mimi ni wako tu na nitakutunzia kilicho chako ,Sipendi uteseke kuja kote huku kwa ajili yangu ni bora iyo mwakani mimi ndio nije huko. hivyo nirushie iyo ela tu mpenzi wangu."

Sasa hapa wakuu nishaurini nitumie moyo au akili?maana nikitumia moyo kusema kweli nakapenda bado ila nikitumia ubongo naona kabisa hakafai na wala hakajanimiss wala nini na inawezekana kameshakua kama wale shwaini wa mjini wanaotanguliza pesa mbele.
Acha kuzengua that is straight forward case. Dump that girl she want to use u
 
Back
Top Bottom