- Thread starter
- #21
Wote tuko financially independent! Ahsante lakini nazo ni mbinu.Ila nahitaji ambazo hazitamuudhi😁😁😁😂 weka mazingira akupige mizinga ! Utaona mwenyew moraly inashuka
Wote tuko financially independent! Ahsante lakini nazo ni mbinu.Ila nahitaji ambazo hazitamuudhi😁😁😁😂 weka mazingira akupige mizinga ! Utaona mwenyew moraly inashuka
Not really...Unahisi miaka inazuia hisia Lizzy? Nina 40.
The more u ar interested the less he'll be interested, and the vice versa is true.Wapenzi nimeangukia kwenye penzi jipya linanipeleka puta kiasi naanza kukosa kujicontrol kumpigia na kumtumia jumbe mpaka najistukia atanichoka au kuonekana msumbufu
Ombi langu naombeni mbinu za kuweza kupunguza hisia juu yake nipunguze kupiga simu na kutuma jumbe kwake.
Nisaidieni yaani nimekuwa teja kabisa hadi najihurumia.
Naiona hii, clearly kabisaa, ndio maana nikaona nijiwahi nipone.The more u ar interested the less he'll be interested, and the vice versa is true.
Ila haimaanishi kwamba atapoteza interest kabisa kwako. Kwenye mahusiano lazima kuwe na mmoja anaejali zaidi ya mwingine na huyo ndie atakua na uwezo wa kuyaweka mambo sawa yanapoenda sivyo.Naiona hii, clearly kabisaa, ndio maana nikaona nijiwahi nipone.
Hiyo ni nguvu inayoshuka kwa wateule tu, ukijielewa na kuitumia mtaishi pamoja paka mzeeke.Dah,, inatesaga hii,,mpka ukajuta kimfahamu![]()


Ngoja aumizwe kwanza ndio atajifunza, unajua mahusiano huwezi jifunza bila kuumizwa, kuna mtoto nilikua the only one who always trying to do/fix things,, (call, txt first), kilichonikuta kidg Israel aondoke na roho yangu... Toka kipindi kile mpaka sasa mimi ni mzee wa shobo balance.Penzi hili jipya naona utaumizwa usikurupukie penzi jipya na kuingia kichwa kichwa utakuja kuumia bure
una miaka mingapi?Thank you adorabella maana mpaka nahisi nimekuwa kiherehere
Kama namwelewa, maana mpaka mlevi aone, afikiri hivi ujue hali ni tete."I hate to see a new couple", alisikika akisema mlevi mmoja.
Hili ndio linanipa ujasiri eti😊Mkuu we tuma tu kwan ukiumizwa unakufa
Si una teseka tu mda mchache
Kumbe kuna wazungu humu, mswahili cjaelewa kituEvery move has a very first step. Mpe experience yako apime mizani yake mwenyewe
Bas kama ndiyo, hapo siyo bure shetani kwa sasa atakuwa upande wako! Kaa tuliza akili mihemko ya mchepuko itakuvunjia ndoa yako! Yapo mambo mengi sana ya kufanya/ kuwaza ili ujikeep bzeNa kama yeye ndio mchepuko wenyewe??
Lake mtu halimtapishi .Wapenzi nimeangukia kwenye penzi jipya linanipeleka puta kiasi naanza kukosa kujicontrol kumpigia na kumtumia jumbe mpaka najistukia atanichoka au kuonekana msumbufu
Ombi langu naombeni mbinu za kuweza kupunguza hisia juu yake nipunguze kupiga simu na kutuma jumbe kwake.
Nisaidieni yaani nimekuwa teja kabisa hadi najihurumia.
Unatatizo UMEROGWA na SHANGAZI YAKO maana mpaka hapo ushampenda na LizzyHiyo ya mwisho ndio concern yangu, Ahsante Lizzy![]()
😪😪Unatatizo UMEROGWA na SHANGAZI YAKO maana mpaka hapo ushampenda na Lizzy