Nitumie mbinu gani?

Nitumie mbinu gani?

Wapenzi nimeangukia kwenye penzi jipya linanipeleka puta kiasi naanza kukosa kujicontrol kumpigia na kumtumia jumbe mpaka najistukia atanichoka au kuonekana msumbufu
Ombi langu naombeni mbinu za kuweza kupunguza hisia juu yake nipunguze kupiga simu na kutuma jumbe kwake.
Nisaidieni yaani nimekuwa teja kabisa hadi najihurumia.
ha ha ha ameshakuteka akili huyo mkuu
 
Ataweza kukaa bila bundle na hela mfukoni anayo? She is overwhelmed by the first intensive feelings of caring. Baada ya muda zitapungua automatically
Hebu nipe ujanja wa kuishi in this transition period
 
Penzi hili jipya naona utaumizwa usikurupukie penzi jipya na kuingia kichwa kichwa utakuja kuumia bure
Every move has a very first step. Mpe experience yako apime mizani yake mwenyewe
 
Hebu nipe ujanja wa kuishi in this transition period
That's how it is and probably it's accompanied by very strong emotions. Just show him how badly in love you're.
Kupenda kupitiza si vibaya
 
That's how it is and probably it's accompanied by very strong emotions. Just show him how badly in love you're.
Kupenda kupitiza si vibaya
That’s where my problem is naandika ma verse na verse ya jinsi navyojisikia juu yake nahisi wakt mwingine anahisi nafanya drama.
 
Wapenzi nimeangukia kwenye penzi jipya linanipeleka puta kiasi naanza kukosa kujicontrol kumpigia na kumtumia jumbe mpaka najistukia atanichoka au kuonekana msumbufu
Ombi langu naombeni mbinu za kuweza kupunguza hisia juu yake nipunguze kupiga simu na kutuma jumbe kwake.
Nisaidieni yaani nimekuwa teja kabisa hadi najihurumia.
Take things slowly na kila kitu kitakuwa sawa , whenever u feel the urge to text him , don't text then , Make yourself busy ili akili yako iwe occupied na mambo mengine
 
Wapenzi nimeangukia kwenye penzi jipya linanipeleka puta kiasi naanza kukosa kujicontrol kumpigia na kumtumia jumbe mpaka najistukia atanichoka au kuonekana msumbufu
Ombi langu naombeni mbinu za kuweza kupunguza hisia juu yake nipunguze kupiga simu na kutuma jumbe kwake.
Nisaidieni yaani nimekuwa teja kabisa hadi najihurumia.
Tafuta mchepuko ! Utapunguza kumtafuta mara kw mara
 
Back
Top Bottom