Nitumie dawa gani mpenzi wangu aniache automatically?

Nitumie dawa gani mpenzi wangu aniache automatically?

Nahitaji kuachwa, nahitaji kuachwaaaaaa, nahitaji kuachwaaaaaa (kwa sauti ya Nireeeteeeeni Gwajimaaaaaa)......
._Ngoja wakuzimie eisi. utaachwa tu.
 
Mkuu..ulisema.mkeo anasali usiku na mchana kumgundua mchepuko wako..na Wewe ukikasirika kuwa HUNA mchepuko..

Huyu mpenzi Umemtoa wapi Sasa. ? Bujibuji
 
Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana)
Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa.
Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu, alikuwa ni kada kindakindaki wa kile chama cha mashetani, kaachana nacho na Sasa hakitaki Tena, sio kwa Sera za chama ila kwasababu tu aufurahishe moyo wangu.
Kanitambulisha kwao, Mimi kwetu sitaki hata wamjue.
Sasa nimechoka kufeki lavu andi laifu.
Nifanyeje ili binti aniache automatically? Je nitumie dawa gani? Niogee chumvi ya mabonge ya Mshana Jr? Mbona nahisi Kama itaniongezea mivuto?
Sitaki kumfanyia visa, nitakuwa nauumiza moyo wake.
Sitaki kumchana makavu, kabinti presha yake inashukaga Hadi anazimia siku tatu.
Naombeni ushauri wajameni nifanyeje ili niachwe mie?
Nahitaji kuachwa, nahitaji kuachwaaaaaa, nahitaji kuachwaaaaaa (kwa sauti ya Nireeeteeeeni Gwajimaaaaaa)
Dah kwanza nimecheka,bujibuji mshenzi wewe na hata kuacha ng'oo

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mara umeoa.mara hujawai cheat.maraa una mpenZ...

Enewei...anza kumkopa hela..halaf usiwe unarudisha. Mtagimbana tu
 
Mbona imeisha hiyo cha msingi we kosea njia kimakudi atakimbia mwenyewe.
 
Mara umeoa.mara hujawai cheat.maraa una mpenZ...

Enewei...anza kumkopa hela..halaf usiwe unarudisha. Mtagimbana tu
Muongo Muongo huyu... Mara alikutana na mke wake wote wakiwa wasafi, na hajawai KUCHEAT... Saiv Ana mpnz....loooh
 
Kama hutaki kumuumiza ina maana hutamuacha.
 
Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana). Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa.

Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu, alikuwa ni kada kindakindaki wa kile chama cha mashetani, kaachana nacho na Sasa hakitaki Tena, sio kwa Sera za chama ila kwasababu tu aufurahishe moyo wangu.

Kanitambulisha kwao, Mimi kwetu sitaki hata wamjue. Sasa nimechoka kufeki lavu andi laifu. Nifanyeje ili binti aniache automatically? Je nitumie dawa gani? Niogee chumvi ya mabonge ya Mshana Jr? Mbona nahisi Kama itaniongezea mivuto? Sitaki kumfanyia visa, nitakuwa nauumiza moyo wake.

Sitaki kumchana makavu, kabinti presha yake inashukaga Hadi anazimia siku tatu. Naombeni ushauri wajameni nifanyeje ili niachwe mie?
Nahitaji kuachwa, nahitaji kuachwaaaaaa, nahitaji kuachwaaaaaa (kwa sauti ya Nireeeteeeeni Gwajimaaaaaa)
Pole Mkuu Bujibuji! unasema kweli nikupe njia rahisi??

Fanya hivi nitumie number yake ya simu hata E-mail Address yake nitamumwagia mipicha na misifa kibao ya mitongozo!! sasa hapa wewe ukuje juu! umlaumu mwambie kwa kumlaumu una wanaume wengi sana,


Hata akilia wee komaa nae tuuu, mimi huku nakomaa kutuma sms.. halafu nambie anapatikana wapi ili utukamate ugoni kirahisi siyo kwamba namfanya au nitamfanya la hasha!! hata!! tutaonge tuu! halafu muache kabisaaa atafute mwingine!! au unasemaje?
 
Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana). Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa.

Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu, alikuwa ni kada kindakindaki wa kile chama cha mashetani, kaachana nacho na Sasa hakitaki Tena, sio kwa Sera za chama ila kwasababu tu aufurahishe moyo wangu.

Kanitambulisha kwao, Mimi kwetu sitaki hata wamjue. Sasa nimechoka kufeki lavu andi laifu. Nifanyeje ili binti aniache automatically? Je nitumie dawa gani? Niogee chumvi ya mabonge ya Mshana Jr? Mbona nahisi Kama itaniongezea mivuto? Sitaki kumfanyia visa, nitakuwa nauumiza moyo wake.

Sitaki kumchana makavu, kabinti presha yake inashukaga Hadi anazimia siku tatu. Naombeni ushauri wajameni nifanyeje ili niachwe mie?
Nahitaji kuachwa, nahitaji kuachwaaaaaa, nahitaji kuachwaaaaaa (kwa sauti ya Nireeeteeeeni Gwajimaaaaaa)
Umerogwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom