Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Dah..wanaume tuwe na huruma jamani...Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana)
Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa.
Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu, alikuwa ni kada kindakindaki wa kile chama cha mashetani, kaachana nacho na Sasa hakitaki Tena, sio kwa Sera za chama ila kwasababu tu aufurahishe moyo wangu.
Kanitambulisha kwao, Mimi kwetu sitaki hata wamjue.
Sasa nimechoka kufeki lavu andi laifu.
Nifanyeje ili binti aniache automatically? Je nitumie dawa gani? Niogee chumvi ya mabonge ya Mshana Jr? Mbona nahisi Kama itaniongezea mivuto?
Sitaki kumfanyia visa, nitakuwa nauumiza moyo wake.
Sitaki kumchana makavu, kabinti presha yake inashukaga Hadi anazimia siku tatu.
Naombeni ushauri wajameni nifanyeje ili niachwe mie?
Nahitaji kuachwa, nahitaji kuachwaaaaaa, nahitaji kuachwaaaaaa (kwa sauti ya Nireeeteeeeni Gwajimaaaaaa)
Nina mpenzi ambaye ananipenda sana (mi nazuga tu kwqmba nampenda, licha ya kwamba Zamani nilikuwa nampenda Sana)
Kwa kadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo upendo wake kwangu unavyozidi kuongezeka huku wa kwangu ukizidi kuyeyuka na kupoteza kabisa.
Binti wa watu kaacha dini yake kaja kwangu, alikuwa ni kada kindakindaki wa kile chama cha mashetani, kaachana nacho na Sasa hakitaki Tena, sio kwa Sera za chama ila kwasababu tu aufurahishe moyo wangu.
Kanitambulisha kwao, Mimi kwetu sitaki hata wamjue.
Sasa nimechoka kufeki lavu andi laifu.
Nifanyeje ili binti aniache automatically? Je nitumie dawa gani? Niogee chumvi ya mabonge ya Mshana Jr? Mbona nahisi Kama itaniongezea mivuto?
Sitaki kumfanyia visa, nitakuwa nauumiza moyo wake.
Sitaki kumchana makavu, kabinti presha yake inashukaga Hadi anazimia siku tatu.
Naombeni ushauri wajameni nifanyeje ili niachwe mie?
Nahitaji kuachwa, nahitaji kuachwaaaaaa, nahitaji kuachwaaaaaa (kwa sauti ya Nireeeteeeeni Gwajimaaaaaa)
Mkuu mbona kama kakutukana alafu unasema 'asante' , maana mm sielewi kiEnglishShukrani mkuu
Hivyo Ni visaAnza kupiga gemu za kichovu.
Ndio maana sitaki aumieDah..wanaume tuwe na huruma jamani...
Hivyo ndio visa nisivyovitaka. Nataka aniache automatically
yule wa uswahilini akiekutingia na dela mkuu?Aisee nilishawai mfanyahia hv dem 1 hivi mbna alikuja oficn sijui alijuaje nafanyia pale daah
Akimpa je?Omba ndogo, kama ni kweli ni innocent kama unavyodai basi atasepa Mazima.
akikubali kutoa anamuacha kwa kisingizio cha tabia mbaya.Akimpa je?
Mkuu mbona kama kakutukana alafu unasema 'asante' , maana mm sielewi kiEnglish
Kwa Hiyo umeshaichakaza tukuyu Ndio unataka mkimbia?Akimbilie wapi na amesha chakatwa kinoma na mshobobo a.k.a Mushobozi wa Mbozi wenye matawimatawi?
Moyo wangu haupo pamoja naye.Kwa Hiyo umeshaichakaza tukuyu Ndio unataka mkimbia?
Punguza misuto kwa nafsi yangu
Punguza mawasiliano ,wasiliana na kwa asilimia 2 ila usikate mawasiliano, ..ataanza kupoa Moto taratibuMoyo wangu haupo pamoja naye.