Nitume, niagize popote ndani ya Dar

Unaweza kazi ya kupeleka pesa bank?
 
Mpo wangapi ? Unachoelezea mbona kama ni impossible; Dar ilivyo kwa siku utatumwa kazi ngapi na usafi utafanya saa ngapi au ni Kampuni au una-cater for premium customers ?

Point yangu ni kwamba huenda simu nane zikipigwa saba zitakukuta upo either kwenye usafi au bado unamalizia / anza utumwaji mwingine...

In short next level ya hii kazi inalipa zaidi wewe kuwa na vijana wa kuwatuma (ingawa hapo unachukua risk ya watu wakiharibu wewe kupata lawama)
 
Dah kila la kheri kaKa lakn kuwa makini unaweza ukaagiziwa mzgo wa magendo halafu mtu akakakuuza umejiandaaj kukabiliana na changamot kama hyo kaka najiuliza tu bro
 
Niko peke yangu mkuu na pia huwa najitahidi kuhandle na kugawa muda kwa vinavyo wezekana kuvifanya kwa siku hiyo, kuhusu usafi mpaka mtu aniite ofisini kwake namfanyia na kuondoka ,kuhusu kuongeza watu bado sijapata connection yakutosha kwahiyo nafanya mimi mwenyewe ,huko mbeleni nitafanyia kazi mawazo yako mkuu nashukuru.
 
Weka I'd yako kamili hapa nikupe kazi acha janja janja kijana mjini hapa weka majina kamili ikiambatana na namba sahih zenye usajili sawa na I'd yako
 

Weka I'd yako kamili hapa nikupe kazi acha janja janja kijana mjini hapa weka majina kamili ikiambatana na namba sahih zenye usajili sawa na I'd yako

Weka I'd yako kamili hapa nikupe kazi acha janja janja kijana mjini hapa weka majina kamili ikiambatana na namba sahih zenye usajili sawa na I'd yako
mkuu kama kweli unaweza kunipa kazi niruhusu nikutumie pm details zangu ila sio hapa jukwaani ,nimeweka tuu mawasiliano ili mtu akihitaji ID yangu ninampa tukiwasiliana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…