Singida ndio home JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 3,188 Reaction score 3,378 Feb 16, 2015 #1 Hadi sasa nime google mpaka nimechoka, wadau mwenye experience ya kucheza games kwa kutumia usb au external kwenye x-box 360 naomba msaada. leh unahitjika
Hadi sasa nime google mpaka nimechoka, wadau mwenye experience ya kucheza games kwa kutumia usb au external kwenye x-box 360 naomba msaada. leh unahitjika
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,242 Reaction score 44,324 Feb 16, 2015 #2 Mzee wa xbox leh
Singida ndio home JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 3,188 Reaction score 3,378 Feb 16, 2015 Thread starter #3 Chief-Mkwawa said: mzee wa xbox leh Click to expand... Mkuu kuna njia naiona hapa ni j-tag lakini ni njia ya hardware inahitaji utaalam sana, hivi hii j-tag wabobgo wataweza.
Chief-Mkwawa said: mzee wa xbox leh Click to expand... Mkuu kuna njia naiona hapa ni j-tag lakini ni njia ya hardware inahitaji utaalam sana, hivi hii j-tag wabobgo wataweza.
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,891 Reaction score 20,138 Feb 17, 2015 #4 Jtag wanaweza iila mtu naemjua anaanzia elfu 80
leh JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 829 Reaction score 376 Feb 17, 2015 #5 yeah, dawa ni JTAG pekee. na kufanya hiyo process inahitaji utaalamu zaidi maana kuna chip ya ku solder mle ndani mwa Xbox. Ninamjua mtu anawezea sana, kama unataka nitaku PM namba zake. Halafu uje na kama 500GB HDD nikugawie games za kutosha
yeah, dawa ni JTAG pekee. na kufanya hiyo process inahitaji utaalamu zaidi maana kuna chip ya ku solder mle ndani mwa Xbox. Ninamjua mtu anawezea sana, kama unataka nitaku PM namba zake. Halafu uje na kama 500GB HDD nikugawie games za kutosha
leh JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 829 Reaction score 376 Feb 17, 2015 #6 na kama bado hujashawishika.. check hiyo mambo
sulfametopyrazine Senior Member Joined Apr 3, 2013 Posts 134 Reaction score 26 Feb 18, 2015 #7 leh lini nije hom hapo..??? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
leh JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 829 Reaction score 376 Feb 27, 2015 #8 Madola sulfametopyrazine, nimeingia atown, nitarudi mkifungua chuo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
east36 JF-Expert Member Joined Aug 4, 2013 Posts 1,351 Reaction score 609 Feb 27, 2015 #9 Xbox 360 Mpango mzima. Unadownload na ku install bila shida. Attachments 1424994461261.jpg 57.1 KB · Views: 108
Mbarak Abeid Abdulla Member Joined Sep 4, 2015 Posts 5 Reaction score 0 Sep 5, 2016 #10 Bro nime ku-PM mbona upo kimya