HahahahaNimeshtuka jana basi mie nimeamua kukesha maombi najua hutaweza![]()
![]()
![]()
![]()


maombi ili nisimuibe.
Uwiiiii jmn jmn. Maombi ya jana yameshanipa majibu kuwa nisiogope maana Yu pamoja nami(Yesu)Hahahahamaombi ili nisimuibe.
Nilianza kummendea kitambo,we muulize atakwambia![]()
Wa kwanza kumpa hug ni yule beby wa mtu .nataka nkamuibeAkitoka yule wa ubavu wako naomba nifuate mimi niwe wa pili.![]()
![]()
![]()
,alaf unafata ww![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huna sababu ya kutaman atakuja menyewe


yani nkirud bongo niwe nimejipanga hasa la sivo na Mimi ntakua miongon mwa wanaolalamika anko magu hahahaha
emmyta jmnJipange kbsayani nkirud bongo niwe nimejipanga hasa la sivo na Mimi ntakua miongon mwa wanaolalamika anko magu hahahaha
Aje atuambie


![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
emmyta jmn
Tena na wewe dada yake umeshakuja hapa sidhani kama zitapita dk 5.
Kuanzia kesho simuachi peke yake. Naomba ruhusa mie kazin naenda nae job
Worlec bbyto![]()
![]()
Tena na wewe dada yake umeshakuja hapa sidhani kama zitapita dk 5.
![]()
![]()
![]()
(Natania bana)
HahahahaUwiiiii jmn jmn. Maombi ya jana yameshanipa majibu kuwa nisiogope maana Yu pamoja nami(Yesu)
tena ukeshe usku uombe Mana nkimtia mikononi atalisahau hata jina lako

Hahaha jamani mamyy hutaki share wwKuanzia kesho simuachi peke yake. Naomba ruhusa mie kazin naenda nae job