Nitauvunja vunja moyo wake soon

Nitauvunja vunja moyo wake soon

Nakuombea uwakose wote maana hujui nini unataka. Unawatia aibu wanaume wenzako
 
Ulitakiwa kumuepuka tangu mwanzo uyo mwanamke km ulijua kua mwz wa 12 utaoa...Sasa mtu katoka kutendwa ata mwaka haujaisha unamtenda na wewe huoni kua unatujengea mazingira magumu sisi tutakaomfuataa?
 
kwanza kabisa niseme sikuwa na nia hii ila itabidi, siyo kosa lake tatizo ni mimi.

Huyu binti nilikutana nae mwanzoni, mwaka huu, nilitokea kumtamani na kutamani kuwa nae hata kwa usiku mmoja tuu, nilifanikiwa kupata namba yake na kuanza mawasiliano.

Date ya kwanza ilienda vizuri na nilimrudisha anapokaaa salama baada ya kufurahi usiku kucha, kukaa nae na kuongea nae usiku huo nikatokea kumpenda, sikufanya nae mapenz aliniambia yupo period mapema na nilimkubalia.

Baada ya hapo kaja kwangu mara nyingi sana, tunapika na kula, na siku nyingine analala baada ya kumsikiliza story yake na malengo yangu nikaona kabisa hatupo njia moja alikuwa ametoka kuachwa na mshkaji wake, alikuwa kwenye maumivu makali nikachukua jukumu la kumpa faraja kuhakikisha hata mitihani yake anafanya vizuri ishu ni kwamba mtoto amenielewa na mipango yake yote ni mimi! Mimi mipango yangu ni mama mtoto ambaye natarajia kufunga nae ndoa mwezi december.

Nimefanikiwa kwa kiasi fulani kuishi double life, mke wangu mtarajiwa alishajua kuhusu huyu binti tukayamaliza, ila binti hajui chochote kuhusu kuwa na mke wala mpango wa ndoa. Last month nilimletea figisu tuachane akaniambia ntakuwa responsible kwa atakachokifanya hawezi kuishi, nikarudi nyuma.

Msinitupie mawe wakuu, naombeni ushauri nini cha kufanya kwa sasa, namna gani nimuache asiumie, binafsi ninampenda pia yani ninawapenda wote yeye na mke mtarajiwa kuoa ni lazima nioe mwezi wa 12
Usipoteze muda wake, muweke wazi, ataumia bt she will move on
 
Ama kweli shetani ana njia nyingi za kushawishi Mauaji.
 
Hv vitu bwana! Akifanya mwenzako unaona kakoseaa kumbe na wewe upo ivyo ivyo, nimeumia sana kuna demu ninamdanganya. Ngoja nifanye uamuz
 
yaani mtu kama wewe kindly nisingeweza kukuacha salama asee unajua katoka kuumizwa na wewe unarudia kosa ningehakikisha unamuacha huyo mke mtarajiwa na mm nakupiga chini ili ujifunze kueshimu mioyo ya wanawake kama unavo mueshimu mama ako
 
yaani mtu kama wewe kindly nisingeweza kukuacha salama asee unajua katoka kuumizwa na wewe unarudia kosa ningehakikisha unamuacha huyo mke mtarajiwa na mm nakupiga chini ili ujifunze kueshimu mioyo ya wanawake kama unavo mueshimu mama ako
 
Hautakaa usahau hiki utakacho mtendea na laana itakukaa daima.
 
ujasiri ndio siri ya mwanaume, ujasiri sio lazima uwe na nguvu za kumkosoa magu tu ujasiri ni kwa jinsi gani unaweza ku solve issue kama hizi kwa utulivu na umakini mkubwa. Hapa mkuu huna jinsi ila kumwambia ukweli tu. Kuwa jasiri mkuu, acha woga, mlie timing hata kupitia kwa shoga zake mwambie ukweli
 
Huyu wa pili ndo unampenda zaidi thus why ukaanzisha mahusiano mapya ukijua fika tayari upo kwenye mahusiano... So just choose the second one coz if you loved the first one yu wouldnt have fallen for the second.. Ila unaroho ngumu sana ww kaka, na huyo dada mama mtt wako ndo kakuvimbisha kichwa kwa kujua kuwa unacheat afu akakusamehe!
 
Kumbe haupo tayar kuoa mkuu..saikolojia yako inaprove
 
Yani tamaa aliumbiwa mbwa ila binadamu 2naiga ndo maana tunaumia... ukimuoa huyo baby mama utajutia sababu ukweli unampenda huyo side chic, so utaendelea kucheat na ndoa yako haitakuwa na amani.. pia ukiamua kumuacha ukamuoa huyo side chic itakucost na drama za baby mama wako. Inshort akili kumkichwa hapa tutakuvuruga tu
 
HAKUNA HATA UNAYEMPENDA HAPO!
UNATIMIZA TU JUKUMU LA KUOA DEC!
 
Kama hali yako kimaisha na kiimani inaruhusu wewe oa wote ila tu nao waridhie
 
Back
Top Bottom