Halafu ?Watie mimba wote wawili mkuu.
Toa taarifa polisi iwapo ana kusudio la kujidhuru.sijakuelewa mkuu
Halafu awaoe wote.Halafu ?
Je mwanamke azinie na mwanaume?Mleta mada' azinie na mwanamke hana akili .
Ndio we we.
Anapesa ya kutunza wawili ?Halafu awaoe wote.
Akisha kuwa nao atazitafuta si ni majukumu yake?Nyie wenyewe mmepewa papuchi moja moja zilivyo na usumbufu,yeye anazo mbili sasa anazimiliki.Apambane nazo tu kwa kweli.Anapesa ya kutunza wawili ?
Sawa mkuu nimeelewaAkisha kuwa nao atazitafuta si ni majukumu yake?Nyie wenyewe mmepewa papuchi moja moja zilivyo na usumbufu,yeye anazo mbili sasa anazimiliki.Apambane nazo tu kwa kweli.
Siku zote we jua kuwa kila mwanaume ana mchepuko hivyo hata anapokutokea uwe ushakubaliana na hali halisi...wanaume nyie.bora nimestaafu mimi.
mimi mwenyewe sikutarajia nitazama miss chaga nilitaka asali kuja kushtuka nishachonga mzinga, ninamsubiria aje nimwambie face to faceMwambie tuachane MPE na kadi ya mchango ila we ni difi mwenzio katoka kuachwa halafu ukamliwaza na baadae unaenda tena kumuacha aisee MPE hela ya uharibifu mkuu kama milioni Tano na usheee halafu uje tuzungumze namna ya kuwa mkweli na muwazi mi niandalie laki Tano tu nikufunde
kabila lake mchaga mkuuKama huna malengo nae ulifanya vibaya kujisogeza kwake akijua amepata mwanga mpya kumbe chenga tu.
Sio mbaya haya maisha tu, we mchane ukweli japo ataumia ila atasahau tu. Hawezi kujiua wakati life tamu namna hii.
Ila chunguza kabila lake kwanza maana anaweza kujirestisha in peace kweli
Ila ukilogwa ni halali yako kabisa tena aiiweke kidudu chako usoni...mimi mwenyewe sikutarajia nitazama miss chaga nilitaka asali kuja kushtuka nishachonga mzinga, ninamsubiria aje nimwambie face to face