Nitasahau vyote ila sio tukio hili

Nitasahau vyote ila sio tukio hili

Koloko

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2026
Posts
256
Reaction score
473
Habari zenu wakubwa

Nimetoka zangu job nimechk narudi home kupumzisha fuvu ili kuwaza kesho mambo yanaendaje

Nimepitia dukan kuchkua baadh ya vitu,kunadogo wakati me nafika dukani nilikuta anapimiwa unga muuzaji alipo maliza akampatia unga then akawa anani hudumia mimi sasa vitu vyangu

Kitendo cha sekunde kadhaa tu,naskia kilio yule dogo kaanguka na ule unga barabarani alivyokuwa ana vuka

Akaamk na kuanza kulia nikamfata nikarudi nae dukani nikamchukulia unga mwengine

Ila

Nikawa nawza licha tu yakuwa makni Next time ila hii kitu atokuja kuisahau mpka kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom