Nitapataje nyumba ndogo anidekeze?

Nitapataje nyumba ndogo anidekeze?

Ndoa/Mahusiano na hekaheka zake!!
Pole sana Mkuu bila shaka Ushapata mwongozo
 
Nawe kuwa busy na watoto,mtapatana na kuelewana hapo.
 
Lea watoto acha excuses kwani wakati mnaoana hamkujua kuwa watoto watakuja?

Hamkujipanga kukabiliana na hiyo hali hususani suala la game.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari wana Jf.

Wife amekuwa mkali sana siku hizi yupo busy na watoto hana muda na Mimi hata ninapo mhitaji pamoja na kumtimizia kila atakacho.

Mechi mpaka watoto walale yaani Nina mawazo tele sijui hata nitapataje nyumba ndogo inipunguzie mawazo bila yeye kujua.
Ukiona wadosi duka halijafunguliwa mpaka saa 3 asubuhi ndio ujuwe muda wao wa kuchapana na kubinuwana, watoto wanakuwa wameshaenda shule.
 
Habari wana Jf.

Wife amekuwa mkali sana siku hizi yupo busy na watoto hana muda na Mimi hata ninapo mhitaji pamoja na kumtimizia kila atakacho.

Mechi mpaka watoto walale yaani Nina mawazo tele sijui hata nitapataje nyumba ndogo inipunguzie mawazo bila yeye kujua.
Ndoa zetu hizi ni shida kweli, unakuta umechoka kupambania familia...lakini hupati hata meseji ya nimekumiss....ili utamani kuwahi kurudi nyumbani...ukifika yaani ni kama tu dogo fulani karudi...kitandani kila mtu upande wake...ukigusa huo moto utakaoupata...


Nje huku yaani ukikonyeza tu macho watoto wabichi wanakulilia...unawaza kutoka unaona huruma.
 
Back
Top Bottom