Ipo mkuu ni pw, nimekwenda nov mwaka jana nayo ila nauli utakoma manake kama wanakomoaMkuu umedanganya, hakuna precision inatua Tabora!
Tabora hakuna ndege ya abiria!
He mpaka May 2016 ilikuwepo hebu tueleze imesimama lini tena?!?!?! Mtoa mada unajua mambo ya mtandao kwa Tanzania naona km tuko nyuma. Hebu wapigie namba za simu zifuatazo:Mkuu umedanganya, hakuna precision inatua Tabora!
Tabora hakuna ndege ya abiria!