ila kwa hizi semi-automatic rifles eg smg, ak 47, m16,,, kiboko yao ni m4.., very light, super accurate,, na butt(kitako) yake inakua na coil (re-coil system) ili ku-absorb shock wakati wa kumwaga njugu,,,
Kwa asiyezifahamu ni zile wanabeba mabody-guard wa marekani wakiwa kwny high profile guard (yani pale wasipobeba uzi gun zao ndani ya suti)...,