Habari?
Kama kichwa kinavojipambanua mimi nalima bustani za zao la bamia lakini kikwetu kwetu nahisi napata faida kidogo ambapo kwa ndoo huwa 10,000/=
Naomba kama kuna sehemu inauzwa zaidi ya hiyo bei nijuzwe maana baada ya wiki 1 naanza kuchuma.
Karibuni mimi nipo mkoa wa Songwe
Kama kichwa kinavojipambanua mimi nalima bustani za zao la bamia lakini kikwetu kwetu nahisi napata faida kidogo ambapo kwa ndoo huwa 10,000/=
Naomba kama kuna sehemu inauzwa zaidi ya hiyo bei nijuzwe maana baada ya wiki 1 naanza kuchuma.
Karibuni mimi nipo mkoa wa Songwe