hebu tuondolee uchuro hapa mshaona uchaguzi serikali za mitaa umekaribia ndio mnataka kuanza kutupigia kelele na minyimbo yenu ya kishetani, nenda kawaulize lumumba buku 7 wakupe jibu.
nikiupata ule wa "kina dada tien(tieni), na wazee tieni(tieni),tieni tieni tienii kwa moyo mmojaaaa!!!nambari wani eeee,nambari wani ni...... wimbo unanikumbusha mbali sana ule...naweza upataje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.