Nitapata wapi mikopo ya mitandaoni

Kahama- shy

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,966
Reaction score
2,721
Habari wanajf awali ya yote niwapongeze uongozi mzima wa Jamiiforum pamoja na Wana member wenzangu humu!

Natumaini yote tu wazima wa afya, Sasa bwana Leo kilichonileta ni hiki kama Uzi unasema nitapata wapi mikopo ya mitandaoni maana huko kote nimechukua app zao zote na kujisajiri lakini kote nimeangukia pua empty wazungu wanasema hakuna kitu😁hicho ni kimombo

Sasa basi sijatimiza vigezo Gani nikopee huko wasee oyee Ninataka kuchukua huko hela hawataki kunipa, Nina line za mitandao ila sijatimiza vigezo vya kukopesheka😔wakuu

NB: ata mtu binafsi wakuu Sina dhamana ila kitambulisho cha nida
 
Unayatafuta matatizo sio?
App za mikopo mitandaoni ni kichomi utapewa 26K urudishe 40K ndani ya siku 6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…