Ngaiza nimeona kitabu chake kbsa cha physical chem but ni 45k dah ni ghali sana mkuuPia kwa upande wa chemistry tafuta pamphets za ngaiza jamaa kaichambua vizuri hasa physical chemistry,pia solve maswali kwenye review ya mzumbe project,..then soma notes za mwalimu wako..hapa utakuwa umejiweka sehemu nzuri ya kupata C kupanda
juu
Elimu pia ni gharama...Ngaiza nimeona kitabu chake kbsa cha physical chem but ni 45k dah ni ghali sana mkuu
Kihombo sio anareview ya physics tu?Chukua vtab vya kihombo we dogo
Hii kaandika vtabu vya physics toka 2015Kihombo sio anareview ya physics tu?
Au Siku hizi ameandika na vitabu vingine?
Chemistry tafuta pamph za Ngaiza(yupo vzr sana,nilichazitumia sana kipindi nipo advance)Habari JF.
Nisehemu gani naweza pata mterials ya advance comb za science kwa dar? Kama vile ma pamphlet ya walimu maarufu na vitabu pia, na unanishauri ninunue pamph za mwalimu gani na vitabu vya aina gani kw Komb ya PCB.
Nawasilisha.
Yah ngaiza yupo fresh kwenye uandaaji wa notes, kwangu nampa no 1..ukisoma notes zake utasema upo na mtu anakuelekeza. Sikuwah kwenda tuit kwake zaid ya kutumia pamph zake yupo biyee sanaPia kwa upande wa chemistry tafuta pamphets za ngaiza jamaa kaichambua vizuri hasa physical chemistry,pia solve maswali kwenye review ya mzumbe project,..then soma notes za mwalimu wako..hapa utakuwa umejiweka sehemu nzuri ya kupata C kupanda juu