Nitapata faida gani nikimiliki timu ya mchangani?

Nitapata faida gani nikimiliki timu ya mchangani?

Lio 002

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
436
Reaction score
68
Habar wana jf mm ninawazo la kuanzisha biashara yangu ambayo ita husika hasa na kuanzisha timu yangu ya mpira wa miguu na kuimiliki lakini timu yenyewe ni zile za michangani wakuu

jee kama tunavyojuwa biashara yoyote ni lazima kuwe na faida jee kwa mitazamo yenu wakuu kwa umiliki huu wa timu ya mchangani ntapataje faida na mm? Au nifanye vitu gani ili nipate faida kwa umiliki huu wa timu?

Nasubiri michango yenu wakuu...
 
Hiyo biashara hakuna kitu. Mtaji mkubwa retuns ndogo.
 
Wacha nami nisikilize points hapa
 
Wazo zuri mkuu,lakini uwekezaji wake ni ghari sana,lakini pia watanzania wengi bado hawajui kwamba mpira ni biashara inayolipa,hivyo kupata vijana makini nayo ni shida,kwani wengi hubweteka kwa mafanikio kidogo tu akicheza Simba au Yanga anaona amefika mwisho wa safari yake.....wekeza mkuu tunataka vijana kutoka Tanzania wakinunuliwa na club kubwa dunian kwa kuvunja record za mauzo....
 
ilo eneo halina timu?
kama kuna timu je imechukua mashabik weng?
ww inabid uje na mbinu mpya za kuteka mashabik.
mfano timu yako iwe na vifaa vya kutosha na upate wachezaj walio tulia.
hakikisha inapata matokeo( ili ni swala la mipango sio uchawi)
ukmalza hapo hamia ss kwenye udigitali.
hapa ss fungua a/c za social media na website ya kawaida anza ku-update taarifa za timu yako na habar zngne za michezo.
ukiweza rekodi mechi zako uwe watupia clip za magol.
humo humo weka vi competition vdgo vdgo kwenye website.
ukimalza hapo ss anza kusaka sponsors waweke matangazo yao kwenye web na a/c zako.
hapa itawezekana pale wee utakapo kua umeipa promo timu vzur.
Tafuta mahusiano mazur na makocha wa vilabu mbali mbali haswa daraja la kwanza na ligi kuu.
Muhimu jina la timu liendane na kitongoji husika yan jina liwafanye mashabik sehemu ya timu sio uite timu yako FC Koln au Dortmund Big No.
Jina husaidia mashabik kongeza mfano Azam ingeitwa Temeke F.C au Mbagala F.C wasingehangaika sana kusaka mashabik.
Mahusiano na makocha itakusaidia ww kupenyesha wachezaj wako na kuweza kupata vijisenti.
Biashara hii ina return kuuuubwa sana ila unahitaj umakin na mipango.
Usiiingize Uchawi utaharibu kila kitu.
 
ilo eneo halina timu?
kama kuna timu je imechukua mashabik weng?
ww inabid uje na mbinu mpya za kuteka mashabik.
mfano timu yako iwe na vifaa vya kutosha na upate wachezaj walio tulia.
hakikisha inapata matokeo( ili ni swala la mipango sio uchawi)
ukmalza hapo hamia ss kwenye udigitali.
hapa ss fungua a/c za social media na website ya kawaida anza ku-update taarifa za timu yako na habar zngne za michezo.
ukiweza rekodi mechi zako uwe watupia clip za magol.
humo humo weka vi competition vdgo vdgo kwenye website.
ukimalza hapo ss anza kusaka sponsors waweke matangazo yao kwenye web na a/c zako.
hapa itawezekana pale wee utakapo kua umeipa promo timu vzur.
Tafuta mahusiano mazur na makocha wa vilabu mbali mbali haswa daraja la kwanza na ligi kuu.
Muhimu jina la timu liendane na kitongoji husika yan jina liwafanye mashabik sehemu ya timu sio uite timu yako FC Koln au Dortmund Big No.
Jina husaidia mashabik kongeza mfano Azam ingeitwa Temeke F.C au Mbagala F.C wasingehangaika sana kusaka mashabik.
Mahusiano na makocha itakusaidia ww kupenyesha wachezaj wako na kuweza kupata vijisenti.
Biashara hii ina return kuuuubwa sana ila unahitaj umakin na mipango.
Usiiingize Uchawi utaharibu kila kitu.

Asante nimekuelewa vizur mkuu wangu thanx kwa ushaur wako
 
Jaribu usiogope unaweza ukanufaika kuuza wachezaji vilabu vikubwa
 
Mke wa mwenye timu huwasongea ugali mkubwa wachezaji..wenyewe wanaita nguna...wanapoenda kucheza mechi za mchangani...faida nyingine ni kumkomaza mkeo kwa kusonga bonge LA ugali
 
Hizi bangi mnazovuta bila kula zinawaharibu, yaani ugharamie timu kwa kushiriki kombe la mbuzi na unategemea faida? Unajuwa bei ya mbuzi ni shilling ngapi? Na je unajuwa kuandaa team mechi moja gharama zake ni shilling ngapi?
 
Hizi bangi mnazovuta bila kula zinawaharibu, yaani ugharamie timu kwa kushiriki kombe la mbuzi na unategemea faida? Unajuwa bei ya mbuzi ni shilling ngapi? Na je unajuwa kuandaa team mechi moja gharama zake ni shilling ngapi?

Usimkatishe tamaa mbona hata ligi kuu vilabu vinasajili kwa mamilioni na vinalipa mishahara mikubwa ili kugombea 25m za ubingwa wa Vodacom Premier League! Mkuu kaa na wataalam wa soka wakupe data unaweza kufanikiwa tu.
 
Back
Top Bottom